MAISHA HAYA..SIJUI NIMEKOSEAJE,, YAANI HATA JINA SIKULIONA, UNAWEZA KUHISI JAMAA ALIKUWA ANAULOZIHapo majanga,kama ameishazitoa,Voda hawana msaada,inabidi umtafute huyo mtu uongee naye akurudishie.Niliwahi kumtumia mtu 76 k,baada ya Voda kushindwa kusaidia nikamtafuta akamipiga sound mwishowe alinirushia 26 k kwa taabu Sana.Nilikula hiyo hasara mpaka nikashiba.
Hakuna ulozi ni vile inakuwa na haraka basi negligence inatokea ndo hivyo.pole mkuuMAISHA HAYA..SIJUI NIMEKOSEAJE,, YAANI HATA JINA SIKULIONA, UNAWEZA KUHISI JAMAA ALIKUWA ANAULOZI
Pole sana!26 k kwa taabu Sana.Nilikula hiyo hasara mpaka nikashiba.
Huo ni uzembe wake maana bank inakuletea jina na account ufanye confirmationKuna mmoja alikosea internet banking alihamishia kwenye account ya mtu asiyemjus. Bank walisema ni makosa yake.
Hilo tukio lilinichelewesha sana kuwa na internet banking.
Bilion ngapi? Ndio tukushauri. kama hizi za kawaida, uchune tu. wala haina nomaNdugu wanabodi,
Nimehamisha kimakosa fedha kutoka account ya benki kwenda M Pesa ya mtu lakini nikawa nimekosea. Nimepiga customer service ya benk kwa sasa wamefunga na nikipiga voda 100 imeishia kunipeleka Wassap.
Wameshiba si unajua wao ndio waliotangulia so wameshiba Kitambo Sana. Hakuna namna nyingine ya wewe kuwapeNahisi vodacom huduma kwa wateja kuna shida hawapokei simu kwa haraka.
Dah hadi najiona sijui!Kuna mmoja alikosea internet banking alihamishia kwenye account ya mtu asiyemjus. Bank walisema ni makosa yake.
Hilo tukio lilinichelewesha sana kuwa na internet banking.