Makumbusho
Member
- Nov 6, 2010
- 23
- 1
wakuuu naombeni msaaaada tafadhali..... kuna mtu ameihack email yangu ya yahoo... amebadilisha kila kitu from my password, security question na altenative email niliyoiweka.... nashindwa kujielewa nifanyaje maana email zangu zote za kiofic na binafsi zipo humo......