Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume: Chanzo cha tatizo na ushauri wa jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo

MBINU 10 ZA KUONGEZA WINGI WA MBEGU ZA KIUME (sperm count)

1. Kula lishe bora

Chakula unachokula kina mchango mkubwa katika kutibu tatizo hili. Vyakula vingi vya kisasa havina uwezo wa kuongeza uwingi wa mbegu.

Kama utarekebisha tu aina ya chakula unachokula kunaweza kupelekea kutibu tatizo lako.

Punguza matumizi ya sukari na vyakula vya ngano. Ongeza zaidi matunda, mboga za majani na mafuta yenye afya.

Hii inaweza kusaidia kutibu tatizo lako la kuwa na mbegu chache kwa haraka sana.

2. Acha kutumia vinywaji au vyakula vyenye kaffeina

Kama una tatizo la kuwa na mbegu chache ni vizuri ukaacha kutumia vinywaji au vyakula vyote vyenye kaffeina kwanza.

Navyo ni pamoja na chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi zote, malta, redbull, chokoleti nk.

Hivi vitu vyenye kaffeina ni sababu ya kupungua kwa uwingi wa mbegu za kiume.

3. Tumia kitunguu swaumu

Kitunguu swaumu ni maajabu ya Mungu mwenyewe. Kitunguu swaumu kina Selenium na pia kinaondoa sumu mwilini vitu viwili mhimu kwa ajili ya kuongeza spidi ya mbegu.

Kitunguu swaumu kina kitu kingine kiitwacho ‘Allicin’ ambacho huongeza msukumo wa damu kwenda kwenye uume.

Ongeza kitunguu swaumu kwenye chakula unachopika.

Pia unaweza kutafuna punje 2 au 3 kila unapoenda kulala au unaweza kukatakata hizo punje 3 vipande vidogo vido (chop) kisha unywe na maji.

Usizidishe zaidi ya punje 3 kwa siku.

4. Kula ndizi

Ndizi hazifanani tu na uume kama unavyoweza kuwaza bali pia ni chakula kizuri kwa ajili ya afya ya uume wako. Ndizi zina kimeng’enya kimoja adimu sana kijulikanacho kama ‘Bromeliad’ ambacho husaidia kuziweka sawa homoni zinazohusiana na tendo la ndoa.

Ndizi pia zina Magnesiamu, Vitamini B1 na Vitamini C, vitu ambavyo ni mhimu sana kwa ajili ya kutengeneza mbegu za kiume.

5. Kula mbegu za maboga
Mbegu za maboga zina kiasi kingi ccha madini ya Zinki ambayo ni mhimu katika kuundwa au kutengenezwa kwa mbegu za kiume na homoni ya testosterone.

Pia zina vitamini B, C, D, E, na K ambazo zote ni vitamini mhimu katika kuongeza hamu ya kushiriki tendo la ndoa na nguvu kwa ujumla.

Pia mbegu za maboga zina kalsiamu, potasiaumu, niacin na phosphorous.

6. Kula zaidi mboga za majani

Mama alikuwa sahihi kumbe ingawa nilikuwa nachukia nikikuta mboga majani badala ya nyama nikirudi kutoka shule.

Mboga za majani zinapunguza homoni ya ‘estrogen’ na hivyo kufanya homoni ya ‘testosterone’ ipatikane kwa wingi na kiurahisi zaidi na hivyo mbegu zako ziweze kuongezeka bila vipangamizi vyovyote.

7. Kunywa maji mengi kila siku
Maji ya kunywa
Hili ni suluhisho rahisi lisilohitaji gharama wala ugomvi wowote kukuelewesha. Mwenyewe unajua kuwa maji ni uhai na kuwa asilimia 75 ya mwili wako ni maji, sasa kama huna tabia ya kunywa maji ya kutosha kila siku sijuwi unategemea miujiza kutoka wapi.

Huhitaji kusikia kiu au mpaka upate hamu ya kunywa maji bali hili ni jambo la lazima kwamba huwezi kukaa bila kunywa maji halafu ubaki na afya bora.

Mbegu zako zimetengenezwa kwa maji, zipo kwenye hali ya kimiminika.

Kutokunywa maji ya kutosha kila siku kuna uhusiano wa moja kwa moja na kupungua kwa uwingi wa mbegu.

Kama utatekeleza mengine yote niliyoelekeza hapo juu halafu ukasahau kunywa maji hesabu umeshachemka tayari.

Kutegemea na uzito wako unaweza kuhitaji maji lita 2 mpaka 3 kila siku.

8. Tumia vyakula vyenye folic asidi kwa wingi

Katika utafiti mmoja wanaume walioongeza utumiaji wa folic asidi na zink waliongeza uwingi wa mbegu zao kwa zaidi ya asilimia 74 kwa muda wiki 2 tu.

Vyakula hivi ni pamoja na tunda la parachichi na karoti.

Hivyo isipite siku bila kula parachichi 1 kutafuna karoti moja kama una tatizo la mbegu chache.

Vingine ni pamoja na mbegu za maboga, ufuta, alizeti, maharage, chungwa, papai, bamia nk

9. Mayai

Mayai yanachukuliwa kama mbadala wa uhakika zaidi katika kuongeza uwingi wa mbegu pamoja na kuongeza spidi au kasi yake. Yana vitamini E nyingi na protini ya kutosha vitu viwili mhimu katika kuongeza mbegu.

Mayai yanafanya kazi nyingine mhimu nayo ni kuzilinda seli za mbegu za kiume kutoshambuliwa na vijidudu nyemelezi kirahisi ambavyo vinaweza kuwa sababu ya kupungua kwa mbegu zako.

Viinilishe vilivyomo kwenye mayai vinafanya kazi ya ziada ya kuzifanya mbegu zenye afya zaidi na zenye nguvu zaidi jambo ambalo ni mhimu kwa ajili ya uzazi kwa upande wa mwanaume.

Kumbuka ni mayai ya kuku wa kienyeji tu yanayofaa kwa kazi hii. Kila siku kula mayai mawili mpaka matatu kama una tatizo hili la kuwa na mbegu chache.

10. Spinach

Folic asidi ni kitu mhimu katika kuongezeka kwa mbegu za kiume. Spinachi na mboga nyingine za majani zenye rangi ya kijani ni mhimu kwa ajili hii sababu ya vitamini na kuweka sawa usawa wa ‘folate’ kwenye mfumo wako wa mwili.

Kama folate ipo chini kuna uwezekano ukawa unatengeneza mbegu zisizo na umbile linalotakiwa kwa uzazi na hiyo hupelekea shida na matatizo mengine ya uzazi upande wa mwanamke (birth defects) kama ujauzito kutoka mara tu mimba inapotungwa
Asante Kwa Somo Zuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kwamba hana mabao ni kwamba mabao yapo ila hayana sile sperm mbegu si swala la kumbeza mtu anaeomba msaa mahala ambapo anaamin atapata msaada halaf anapuuzwa ki hivi
Tatizo pacha langu liko hivi, mie mabao hamna kabisa! Uume unadinda vizuri na kuingia kwa bibi kama kawa, ila nitapiga mashine hata zaidi ya nusu saa au saa nzima lakini babu hatemi ng'o! Tatizo hili limenianza kwenye age ya 53, ila kabla ya hapo mambo yalikuwa mubashar! Solution please!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo pacha langu liko hivi, mie mabao hamna kabisa! Uume unadinda vizuri na kuingia kwa bibi kama kawa, ila nitapiga mashine hata zaidi ya nusu saa au saa nzima lakini babu hatemi ng'o! Tatizo hili limenianza kwenye age ya 53, ila kabla ya hapo mambo yalikuwa mubashar! Solution please!


Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda hospital kachek mirija kama IPO sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hospital wamenibia matibabu yake nje ya nchi..na n USD 40,000/=

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekua ni case ya low sperm count tu
Isingekua issue sna mkuu

Ila azoospermia maana yake ni hali yakua hamna hata sperm mmoja ktk yale maji yooote ya manii unayotoa

Sasa tiba yake ni ndefu mkuu , kwa hapa kwetu

Wengi ambao walimepatikana na hio condition wanakata tamaa kutibika but nothing is imposible mkuu
Pambana na mungu atakufanyia miujiza yke utafanikiwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekua ni case ya low sperm count tu
Isingekua issue sna mkuu

Ila azoospermia maana yake ni hali yakua hamna hata sperm mmoja ktk yale maji yooote ya manii unayotoa

Sasa tiba yake ni ndefu mkuu , kwa hapa kwetu

Wengi ambao walimepatikana na hio condition wanakata tamaa kutibika but nothing is imposible mkuu
Pambana na mungu atakufanyia miujiza yke utafanikiwa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yan doctor alivyo niambia nilimcheki Mara 2....nikasema moyoni daaaa yan hapa ata nauli ya ndege kutoka DSM mpaka mwanza sina

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar tanzania
Asalaam aleikum
Tumsife yesu kristu


Nimekuja kwenu wakuu naitaji msaada juu ya ugunduz nilioufanya uliotokana na kukubwa na tatizo la nguvu za kiume lililotokana na kujichua na ulaji mbaya wa vyakula hivyo kupelekea uume kua legelege kuwai kukojoa kushindwa kurudia tendo kukosa hamu ya tendo na nk

Nilianza kuzunguka mahospitali kutafuta tiba bila mafanikio na kote huko nilikua naambiwa yafuatayo kula vizur sikupewa majibu mazur zaid ya kuambiwa kupa vvyakula vya asili,pia niliambiwa kunywa maji mengi sikuambiwa kias gan kama ni ndoo mbili au pipa au glass tano niliambiwa kula matunda sikuambiwa aina gan na mangap

Zoez pia niluambiwa nifanye sana sikuambiwa zoez ganna mda gan

Nikaingia field. Kufanya utafit ulionigharimu sana sana sanaaaaaaaaaaaa ilikua bado kidogo nikate tamaaaaa nikaanza na matunda nikayapata kua matunda manne nikichanganya nitapata nitrix oxide ambayo itatibu misulu na kupandisha hormone nikaweka kwenye namba kwa kila tunda yawe mangap na maji nikapata lita nne na zoez nikapata la pelvic floor exercise kwa ajili ya kukaza uume nikafanikiwa kupona so nikaanza kuyza formula tangu 2010 mpaka leo wrng wakapona ndoa nying ziksokolewa shuda zipo kwenye page yangu niliyoambatanisha picha niko hapa kuomba msaada nin nifanye nitengeneze dawa ya kitonge au maj maana formula yangu imefana sana kinatabibu mawasiliano yangu ni 0712505049


 
Kitonge au kidonge!? Kama kitonge kamua iwe maji ongeza ngano songa inakua kitonge, ila ila uko unapoipeleka katk form ingine utaiharibu ubora wake maana itabid iongezwe preservatives nyingine amabz ni sumu
 
Back
Top Bottom