Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,376
- 14,864
Waungwana mwenzenu Sina Aman kabisa ndoto zangu zangu zmeyeyuka nmekutana na DEMU nisiyemjua status yake nikamwita gheto akaja nikapiga na kondomu bahat mbaya ikapasuka bila kujua Ile kuchomoa hv nikagundua imepasuka hakika stress zikaanza usiku sikulala kabisaa Basi kesho yake nikajihimu kwenda dispensary kupima majibu yakatoka nipo negative
Daktari akashauri nimtafte huyo DEMU nimpeleke akapime lkn huyo DEMU akagoma yaan hata mawasiliano amekata kabisa na Mimi
Na leo nimefikisha masaa 50 yangu tulipo kutana.
MSAADA kwenye tuta jmn nimepagawa.
Majibu ya vipimo vyangu ni hiv apa nmeatach.
View attachment 1917287
Unataka kututambia kwamba unazo nguvu dume nyingi kiasi kwamba umeweza kuirarua ndomu??!!--- au siyo??