Sheilerz
Member
- Dec 21, 2017
- 69
- 87
Naomba msaada,
Mimi sio mtumiaji wa vipodozi vikali lakini yamenikuta haya baada ya kushare lotion ya ndugu yangu tukiwa safarini.
Bahati mbaya nilisahau kupack mafuta wakati nasafiri sasa kwakuwa hatukukaa siku nyingi nikasema sio vibaya nikitumia mafuta yake siku tatu, ngozi yangu imeharibika imetoa vidoti vyeupe vidogo vidogo hata sijui nafanyaje kuviondoa.
Mwenyewe mtumiaji yuko vizuri tu.
Msaada naomba kama kuna dawa itakayonisaidia kuondoa..
Mimi sio mtumiaji wa vipodozi vikali lakini yamenikuta haya baada ya kushare lotion ya ndugu yangu tukiwa safarini.
Bahati mbaya nilisahau kupack mafuta wakati nasafiri sasa kwakuwa hatukukaa siku nyingi nikasema sio vibaya nikitumia mafuta yake siku tatu, ngozi yangu imeharibika imetoa vidoti vyeupe vidogo vidogo hata sijui nafanyaje kuviondoa.
Mwenyewe mtumiaji yuko vizuri tu.
Msaada naomba kama kuna dawa itakayonisaidia kuondoa..