Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Habari zenu wadau..I hope mko poa,Kuna chali'angu mmoja tumesoma wote Arusha Secondary ila yeye hakuendelea A Level na aliishia tu Form4 akaamua kwenda chuo mwaka 2017,Ali'apply SAUT Mwanza akakubalika lakini alisoma kama mwezi mmoja tu akaugua ikabidi Aahilishe masomo,amekuja kupona na ku'resume masomo yake mwaka 2018mwezi wa10 kwa ngazi iyo ya Certificate'Cheti na kamaliza mwaka huu mwezi wa6,,Sasa Sasa juzi apa kaenda ku'apply ili kuendelea na Diploma na akaenda kuchukua matokeo yake kwa HoD wa Faculty yao akaambatanisha kwenye application form akamaliza,sasa jana kaambiwa majina ya kwenda Diploma yametoka ila NACTE wamemwandikia 'Missing Results'sasa haelewi ni kwanini matokeo hayapo akati alifata kule kwa HoD na ana GPA ya 2.7,Na akiwapigia Admission office wanamjibu shit tu hadi analia,Wanamwambia afatilie sijui wapi!?..Msaada wadau mwenye kujua cha kumsaidia uyu jombaa.
@NgarenaroBoy.
@NgarenaroBoy.