malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,746
- 2,623
Wakuu kama nilivoandika hapo juu nimeandikiwa hivo vipimo naomba mnifafanulie nivipimo gani hivo kwa kirefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A rapid plasma reagin (RPR) test is a blood test used to screen you for syphilis. It works by detecting the nonspecific antibodies that your body produces while fighting the infection.Wakuu kama nilivoandika hapo juu nimeandikiwa hivo vipimo naomba mnifafanulie nivipimo gani hivo kwa kirefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiingii akilini mwangu kwamba unakwenda kwa daktari, anamueleza matatizo yako, anakuandikia uende maabara kufanya vipimo, na wewe unatoka tu hapo bila hata kumuuliza afafanue, unakuja kwenye jamvi hili kutuuliza sisi maana ya maandishi hayo wakati wala hatujui kinachokusumbua. Huko serious na tatizo linalokukabili.Wakuu kama nilivoandika hapo juu nimeandikiwa hivo vipimo naomba mnifafanulie nivipimo gani hivo kwa kirefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiingii akilini mwangu kwamba unakwenda kwa daktari, anamueleza matatizo yako, anakuandikia uende maabara kufanya vipimo, na wewe unatoka tu hapo bila hata kumuuliza afafanue, unakuja kwenye jamvi hili kutuuliza sisi maana ya maandishi hayo wakati wala hatujui kinachokusumbua. Huko serious na tatizo linalokukabili.
bila shaka umeelewa bwana malembeka 18 fanya upime upewe ushauri na saha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmecheka kama mazuri
Mkuu majibu yangu ni VCT-negative RPR negative nimekuja soma majibu nikiwa home..maana baada ya kuambiwa na daktar mjibu yako hayana shida yoyote akanipa karatasi hata skuangalia nkaweka kwenye begi nkaondoka zangu..kufika home naangalia wameandika hivo siwangine tumezoea ukimwi inaandikwa HIV rapid test sasa skuona ktk hiyo kadi ndo nkawa najiuliza wamenipima vitu vingme nin
Sent using Jamii Forums mobile app
Google sio sehemu ya kuuliza maradhi yani staki hata kukumbukaamna nmecheka tu mnavyomjibu. bora angeingia Google mm pia nilipewaga majibu ya full blood picture nikaingia Google kujua yana maana gani, yakanitatanisha moja likawa kama nna dalili ya kansa nilichanganyikiwa nikaenda kwa docta akaniambia vitu vingine..lakini kihoro nilichokipata nadhani mleta uzi anaelewa kuliko mtu yoyote.. ndio mana nmecheka nikikumbuka zile stress
Unaweza kufa kabla nilijiona nna kansa .
Ungesoma majibu ya wana Jf ungekufa kihoro Btw Congratulation My dear Afya ni kitu chemaMkuu majibu yangu ni VCT-negative RPR negative nimekuja soma majibu nikiwa home..maana baada ya kuambiwa na daktar mjibu yako hayana shida yoyote akanipa karatasi hata skuangalia nkaweka kwenye begi nkaondoka zangu..kufika home naangalia wameandika hivo siwangine tumezoea ukimwi inaandikwa HIV rapid test sasa skuona ktk hiyo kadi ndo nkawa najiuliza wamenipima vitu vingme nin
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakwenda kupima magonjwa ya zinaa.Itakuwa huwa unauza sana mechi hadi Dr anakuandikia ukapime ile ukweli ujulikane,kapime then na majibu yakitoka utuwekee hapa na utuulize yanamaaisha nini.
Wakuu kama nilivoandika hapo juu nimeandikiwa hivo vipimo naomba mnifafanulie nivipimo gani hivo kwa kirefu
Sent using Jamii Forums mobile app