Msaada: Nimeandika barua ya kuacha kazi naambiwa natakiwa nimlipe mwajiri

Kwanza nimsifu aliye kujibu ,,amekujib majibu mazur Sana,

Sheria ya ajira na mahusiano kazini inasema HV mfanykaz kam ataach kaz ndan ya masaa 24 anawajibika kuaacha mshahar ah kumlipa mshahar mwajiri wake..

Sababu kubwa ikiwa kuwa ww ndo uliyeacha kaz na hujampa taarif ya siku 28 kuwa unatak kuacha kaz

na kuhusu ukiingia mkataba wa mud maalum then ule muda wa kuisha mkataba ukafika na ukaendelea kufanya kaz bas kanuni ya 5 ya T.S NO.42 inasema kwamba mkataba huo ume jirudia automatic Kwa terms zilezile na conditions zilezile

Kuhusu haki Kwa sheria zetu za nchi kuwa huna haki yoyote isipo kuwa kweny MFUKO WAKO WA HIFADH YA JAMII,BC lbda mwajiri awe tu na huruma bc

N:B saiz hifadh ya jamii mfano NSSF hawan fao LA kuacha kaz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ukiamua kuacha kazi kwa notice ya 24hours wewe ndio unamlipa mwajiri.
lakini ukitoa notice ya 1 month ni jukumu la mwajiri kukulipa mshahara wako wa mwisho na stahiki nyingine kama unastahili

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mkataba wake unasema hivyo?
Maana hivi vifungu hutofautiana kulingana na mkataba husika, sio vifungu ambavyo ni general kwa kila mkataba.
 
Habarini wakuu,

Nimeandika barua ya kuacha kazi, naambiwa sheria inasema natakiwa nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja kwavile sikumpa notice.

Nikajitetea kuwa mkataba wangu ulishaisha toka 2018 na sijasaini mwingine, naambiwa sheria inasema kama mkataba wa kwanza umeisha na hamjaingia mkataba mwingine basi ule ulioisha unajirenew automatically.

Pia mbali na likizo zako, je ni benefits gani nyingine naweza kupata? Nimefanya kazi miaka 3.

Msaada kwa wanaojua hizi sheria please

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu uneacha kazi mwenyewe,mlipe mshahara mmoja,update michango yako NSSF chukua certificate of service sepa
 
We itakuwa umesubmit hiyo barua kwa mwajiri wako ikionesha unataka kuacha kazi under 24hrs notice Yaani ndani ya masaa 24. Hapa inapaswa wewe ndio umlipe mwajiri wako basic salary ya mwezi mmoja kwasababu umemshtukiza na hakujianda kwa replacement ya gafla uliyoisababisha.
Kama barua yako ikionesha kuwa unaacha kazi baada ya siku 28 maanaake kwamba umempa muda wa kutosha mwajiri wako ili atafute replacement wako, kwa njia hii hutamlipa chochote zaidi ya yeye mwisho wa mwezi kukulipa stahiki zako zote
kwa kufanya hivi atapata mafao yake ya NSSF?
 
Habarini wakuu,

Nimeandika barua ya kuacha kazi, naambiwa sheria inasema natakiwa nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja kwavile sikumpa notice.

Nikajitetea kuwa mkataba wangu ulishaisha toka 2018 na sijasaini mwingine, naambiwa sheria inasema kama mkataba wa kwanza umeisha na hamjaingia mkataba mwingine basi ule ulioisha unajirenew automatically.

Pia mbali na likizo zako, je ni benefits gani nyingine naweza kupata? Nimefanya kazi miaka 3.

Msaada kwa wanaojua hizi sheria please

Sent using Jamii Forums mobile app
muajirii wakoo ndo falaaaa hapoo tena ungeacha bila hata kumwambiaa na hakuna kitu angefanya
 
Habarini wakuu,

Nimeandika barua ya kuacha kazi, naambiwa sheria inasema natakiwa nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja kwavile sikumpa notice.

Nikajitetea kuwa mkataba wangu ulishaisha toka 2018 na sijasaini mwingine, naambiwa sheria inasema kama mkataba wa kwanza umeisha na hamjaingia mkataba mwingine basi ule ulioisha unajirenew automatically.

Pia mbali na likizo zako, je ni benefits gani nyingine naweza kupata? Nimefanya kazi miaka 3.

Msaada kwa wanaojua hizi sheria please

Sent using Jamii Forums mobile app
Angalia tarehe ya kuisha kwa mkataba ule wa awali wa 2018 kwa kuulinganisha na mkataba mwingine ambao ungekuwa umeusaini sasa, just in case ungekuwa umeshasaini mkataba mwingine baada ya ule ulioisha 2018.

Kama tarehe hiyo bado haijapita, isubirie ifike halafu ikishafika unatoa notice ya mwezi mmoja ya kutokuwa tayari kusaini mkataba mwingine.

Kama hiyo tarehe ilishapita siku chache nyuma, tafadhali fanya utaratibu wa kumlipa mwajiri wako mshahara wa mwezi mmoja

Unapokuwa umeajiriwa, si jukumu la mwajiri wako tu kukulipa wewe mshahara ila hata wewe pia, under certain circumstances, unalo jukumu la kumlipa mwajiri wako mshahara
 
kwa kufanya hivi atapata mafao yake ya NSSF?
Yes atapata vizuri tu. Kuna barua form moja ataichukia NSSF ambayo itatakiwa ijazwe na mwajiri ikiambatanishwa na barua ya sertificate of service ambayo inatoka kwenye kampuni aliyoacha kazi. Sasa usipowalipa mara nyingi hii certificate wanakubania nia usifanikiwe kuchukua mafao yako.
 
Back
Top Bottom