soskeneth
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 583
- 235
Kwanza nimsifu aliye kujibu ,,amekujib majibu mazur Sana,
Sheria ya ajira na mahusiano kazini inasema HV mfanykaz kam ataach kaz ndan ya masaa 24 anawajibika kuaacha mshahar ah kumlipa mshahar mwajiri wake..
Sababu kubwa ikiwa kuwa ww ndo uliyeacha kaz na hujampa taarif ya siku 28 kuwa unatak kuacha kaz
na kuhusu ukiingia mkataba wa mud maalum then ule muda wa kuisha mkataba ukafika na ukaendelea kufanya kaz bas kanuni ya 5 ya T.S NO.42 inasema kwamba mkataba huo ume jirudia automatic Kwa terms zilezile na conditions zilezile
Kuhusu haki Kwa sheria zetu za nchi kuwa huna haki yoyote isipo kuwa kweny MFUKO WAKO WA HIFADH YA JAMII,BC lbda mwajiri awe tu na huruma bc
N:B saiz hifadh ya jamii mfano NSSF hawan fao LA kuacha kaz
Sent using Jamii Forums mobile app
Sheria ya ajira na mahusiano kazini inasema HV mfanykaz kam ataach kaz ndan ya masaa 24 anawajibika kuaacha mshahar ah kumlipa mshahar mwajiri wake..
Sababu kubwa ikiwa kuwa ww ndo uliyeacha kaz na hujampa taarif ya siku 28 kuwa unatak kuacha kaz
na kuhusu ukiingia mkataba wa mud maalum then ule muda wa kuisha mkataba ukafika na ukaendelea kufanya kaz bas kanuni ya 5 ya T.S NO.42 inasema kwamba mkataba huo ume jirudia automatic Kwa terms zilezile na conditions zilezile
Kuhusu haki Kwa sheria zetu za nchi kuwa huna haki yoyote isipo kuwa kweny MFUKO WAKO WA HIFADH YA JAMII,BC lbda mwajiri awe tu na huruma bc
N:B saiz hifadh ya jamii mfano NSSF hawan fao LA kuacha kaz
Sent using Jamii Forums mobile app