Akili Sina
JF-Expert Member
- Jan 18, 2018
- 301
- 2,218
Habarini wakuu,
Nimeandika barua ya kuacha kazi, naambiwa sheria inasema natakiwa nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja kwavile sikumpa notice.
Nikajitetea kuwa mkataba wangu ulishaisha toka 2018 na sijasaini mwingine, naambiwa sheria inasema kama mkataba wa kwanza umeisha na hamjaingia mkataba mwingine basi ule ulioisha unajirenew automatically.
Pia mbali na likizo zako, je ni benefits gani nyingine naweza kupata? Nimefanya kazi miaka 3.
Msaada kwa wanaojua hizi sheria please
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeandika barua ya kuacha kazi, naambiwa sheria inasema natakiwa nimlipe mwajiri mshahara wa mwezi mmoja kwavile sikumpa notice.
Nikajitetea kuwa mkataba wangu ulishaisha toka 2018 na sijasaini mwingine, naambiwa sheria inasema kama mkataba wa kwanza umeisha na hamjaingia mkataba mwingine basi ule ulioisha unajirenew automatically.
Pia mbali na likizo zako, je ni benefits gani nyingine naweza kupata? Nimefanya kazi miaka 3.
Msaada kwa wanaojua hizi sheria please
Sent using Jamii Forums mobile app