Msaada: Nikiwa natafuta bao la pili katikati jogoo anasinzia mpaka napumzika

haki8

Member
Jun 7, 2016
26
35
Nikiwa nafanya sex mara nyingi bao la kwanza huwa natumia dakika 46 but nikiwa round ya pili utakuta katikat ya game jogoo anasinzia mpaka nipumzike kidogo tena ndio mpango mzima sasa ni nini tatizo?
 
Nikiwa nafanya sex mara nyingi bao la kwanza huwa natumia dakika 46 but nikiwa round ya pili utakuta katikat ya game jogoo anasinzia mpaka nipumzike kidogo tena ndio mpango mzima sasa ni nini tatizo?

Umelipia tangazo??

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Nikiwa nafanya sex mara nyingi bao la kwanza huwa natumia dakika 46 but nikiwa round ya pili utakuta katikat ya game jogoo anasinzia mpaka nipumzike kidogo tena ndio mpango mzima sasa ni nini tatizo?
Donald Trump...
 
Kama unaruka 46mins sio kesi, but tambua unatumia calories na sio mafuta ya petrol na ili kuziunguza it takes more oxygen kwa hivyo kinachokusibu wewe ni kuwa unahitaji kupumzika ili mwili ujenge nguvu tena.Usilazimishe kama wale wanaopre ejaculate kila baada ya dakika 3, miili yetu ina config tofauti haki8.
 
Kwanza unadanganya hizo dakika 46 sio kweli.ukute unatumia hata dakika 3.kwann wanaume tunapenda kujikweza wakati sio kama unatumia dk 46 inakaribia saa moja hilo bao la pili la nn? .sema ukweli upatiwe matibabu.
Mkuu huyu mleta mada anajipa promo tu haiwezekani bao la kwanza lichukue muda wote huo.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom