Innocent Kirumbuyo
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,640
- 4,426
Nilichokiona watu mnabisha vitu msivyo vijua mbona ata mm la kwanza saa 1 linakwisha kila mwanamke niliyetoka naye lazima ana niambie natumia madawa ila sijawai kula dawa yeyote ndiyo jinsi nilivyo paka uwa nawaza ni tatizo auNikiwa nafanya sex mara nyingi bao la kwanza huwa natumia dakika 46 but nikiwa round ya pili utakuta katikat ya game jogoo anasinzia mpaka nipumzike kidogo tena ndio mpango mzima sasa ni nini tatizo?