Habari
Naomba kuuliza kama nimejamiana na mtu mwenye ukimwi itanichukua mda gani mim kuziona dalili kama nitakua nishaukwaa?????
Habari
Naomba kuuliza kama nimejamiana na mtu mwenye ukimwi itanichukua mda gani mim kuziona dalili kama nitakua nishaukwaa?????
Mkuu ukute alipata nguvu kidogo tu ya kuandika uzi, kusoma comments zenu tu atakuwa ameshazirai.Kaunasa huyo usimfariji 😂😂🚶
Masaa matatu
Habari
Naomba kuuliza kama nimejamiana na mtu mwenye ukimwi itanichukua mda gani mim kuziona dalili kama nitakua nishaukwaa?????
Kaunasa huyo usimfariji
Nimavaana na uyu jimama Jana usiku leo siku nzima nawazia mana ni baamediNi punde baada ya kujua ana UKIMWI.
Yaani hata ukipata mafua ya kawaida, mwili unajiona kabisa ka umeshaunasa. Kumbe mwili umejijengea hofu tu.
Turudi kwenye mada;
Umejaamiana naye lini? Kama ni chini ya masaa 72 yaliyopita, basi wahi kituo cha afya upewe vidonge vya PEP vitakavyokukinga.
Kuhusu dalili, zipo katika hatua tatu. Lakini nenda ukapime upate uhakika zaidi na afya yako. Usisubirie dalili kwani unajiweka katika nafasi mbaya zaidi.
Kwa baadhi ya watu ndani ya wiki mbili za kwanza kipimo kinaweza kuonyesha. Lakini uhakika zaidi ni ndani ya miezi mitatu.
Huenda hata hujaunasa. Ni hofu yako tu.