spencer
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 3,599
- 3,220
GreatThinkers!
Haya ni mawazo yangu, ndiyo maana si yako. Nipe mawazo yako ili mimi niyachambue.
CCM imeitenga kanda ya ziwa, natamani bora iwe nchi huru. nipeni procedure!
Tunatumika tuu,gw'endakulima na Kagongwa wanakula vumbi la Buzwagi uwekezaji wa viwanda unarundikwa Kibaha.
Kwa nini Dar Cement iwe 14000/= na Geita iwe 18000/= wakati Shinyanga kuna uwezekano wa kuweka kiwanda?
Bora iwe nchi huru, hakuna Chuo kikuu(Public) huku. MAR, MZA, SIMIYU, SHY, GEITA, TABORA hivi inawaingia kichwa kweli kila kitu kiwe kanda ya mashariki?
Ukisikia madini ya dhahabu wanachimba hadi kijijni kwetu G'wendakulima-Buzwagi iko pale, Kakola,Tulawaka,Geita,Mwadui na hata North Mara-Nyamongo
Mawazo yamefikia huko maana naona hawa CCM wana mpango mbaya nadhani hata mnaotoka kanda zingine mtaniambia.
Nipeni taratibu, nimechoka na huu wizi wa kuhamishia utajiri mwambao, aliyewaambia kuwa mkiweka kiwanda Kiabakari(MAR) au Tinde(SHY) kuwa hakitazalisha ni nani?
Nimechoka kukaa na duku duku, kuna kila dalili kuwa Kaliua (TBR) wanalima Tumbaku lakini vijana wa Tabora hata kiwanda hakuna.
Nasema yote haya kwa sababu sioni Tanzania ya wajukuu chini ya CCM ukoo wa McKamba na ******, bora tujitenge!
Niktafakali huku tulivo RELI - VIWANDA-MADINI-USAFIRI WA ANGA-USAFIRI WA ZIWANI-ZAHANATI/HOSPITALI-SHULE/VYUO nk naamini sie hatuko Tz
Nipeni mawazo, Nchi mpya izaliwe. Muone kama hata haitakuwa kama Rwanda.
Haya ni mawazo yangu, ndiyo maana si yako. Nipe mawazo yako ili mimi niyachambue.
CCM imeitenga kanda ya ziwa, natamani bora iwe nchi huru. nipeni procedure!
Tunatumika tuu,gw'endakulima na Kagongwa wanakula vumbi la Buzwagi uwekezaji wa viwanda unarundikwa Kibaha.
Kwa nini Dar Cement iwe 14000/= na Geita iwe 18000/= wakati Shinyanga kuna uwezekano wa kuweka kiwanda?
Bora iwe nchi huru, hakuna Chuo kikuu(Public) huku. MAR, MZA, SIMIYU, SHY, GEITA, TABORA hivi inawaingia kichwa kweli kila kitu kiwe kanda ya mashariki?
Ukisikia madini ya dhahabu wanachimba hadi kijijni kwetu G'wendakulima-Buzwagi iko pale, Kakola,Tulawaka,Geita,Mwadui na hata North Mara-Nyamongo
Mawazo yamefikia huko maana naona hawa CCM wana mpango mbaya nadhani hata mnaotoka kanda zingine mtaniambia.
Nipeni taratibu, nimechoka na huu wizi wa kuhamishia utajiri mwambao, aliyewaambia kuwa mkiweka kiwanda Kiabakari(MAR) au Tinde(SHY) kuwa hakitazalisha ni nani?
Nimechoka kukaa na duku duku, kuna kila dalili kuwa Kaliua (TBR) wanalima Tumbaku lakini vijana wa Tabora hata kiwanda hakuna.
Nasema yote haya kwa sababu sioni Tanzania ya wajukuu chini ya CCM ukoo wa McKamba na ******, bora tujitenge!
Niktafakali huku tulivo RELI - VIWANDA-MADINI-USAFIRI WA ANGA-USAFIRI WA ZIWANI-ZAHANATI/HOSPITALI-SHULE/VYUO nk naamini sie hatuko Tz
Nipeni mawazo, Nchi mpya izaliwe. Muone kama hata haitakuwa kama Rwanda.