GIPAMA
JF-Expert Member
- May 21, 2016
- 1,103
- 541
- Thread starter
- #21
Hakuna mashtaka yaliyofunguliwa kwenye bodi ya kinidhamu, na hajaitwa kwenye bodi yeyote kujieleza, isipokuwa aliandika barua 3 za kujieleza kwa mtu mmoja ambae n mkurugenz na huyo mkurugenz yupo chini ya mwajiri wake nayy.Itategemea
1. Mkataba wake ni wa muda gani (chini ya miezi 6 au zaid)?
2. Kuna sababu ya msingi ya kumfukuza
3. Watafuata taratibu wa kmwachisha kazi?
Kwani kwny suala la mwajiri kumwachisha kazi mwajiriwa wake mbaye mkataba wake ni zaidi ya miezi 6 tume huangalia mambo makuu 2
(a) Valid reason for termination
(b) Fair procedure for termination
Swali je, kuna mashtaka ya kinidhamu yamefunguliwa n mwajiri dhidi ya mwajiriwa ndani ya uongozi wa mwajiri?. Iwe ndiyo ama hapana "ASIJIHUDHULU"