mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,036
Nahitaji kujua ni vyuo vipi bado vina capacity kwenye kozi za afya na elimu (sayansi na art).
Ingia kwenye system ukiamplay utaona kilichopo na kisichopo.Nahitaji kujua ni vyuo vipi bado vina capacity kwenye kozi za afya na elimu (sayansi na art).
diploma au degree
Degreediploma au degree
Ili kuingia kwe ye system lazima uwe ni applicant. Mimi nahitaji kumshauri mzazi anayehitaji ushauri.Ingia kwenye system ukiamplay utaona kilichopo na kisichopo.
Oohhh ukiwa na second hand data ni ngumu kushauri hapo.... Maana kila dakika nafasi zinapungua na kujaa pia
Asante sana.afya kairuk, kampala na st joseph angalia mfuko wako kwanza kabla hujajaza na nafas zlizibak apo ndo utajua kuwa c singel zote znachezeka
ingia maswayetu blog,list ya vyuo vyote vyenye nafasi vipo hukoNahitaji kujua ni vyuo vipi bado vina capacity kwenye kozi za afya na elimu (sayansi na art).
st Joseph na Kampala vingine sijavijua kwa sasaDegree