Msaada: Ni utundu gani unatumika mtu kufungua password kwenye simu hata ikibadilishwa mara kwa mara?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,326
92,517
Wadau naomba mwenye uelewa na hili anisaidie ni nini kinafanyika, ni hivi kuna mtu ana uwezo wa kufunguwa simu yangu hata nikibadili password mbalimbali lakini yeye anaifunguwa bila shida.

Sasa naomba wajuzi mnielimishe simu yangu ameingizwa program gani ambayo mimi siioni inayompa yeye access ya kufunguwa simu yangu hata nibadiri vipi password? Na inavyoonekana hiyo program inampa access ya kuziona pia msg zangu, nimeingiliwa mwenzenu Maana sina faragha sasa.
 
Simu yako aina gani kwanza... Usije ukawa unalalamika kumbe unamiriki tecno
 
Naelewa Iphone iko safe sana ila nataka kujuwa kama mtu ameingilia simu yako mpaka personal msg zako ana access nazo ni nini kilichofanyika? Usipoelewa swali langu huwezi kujuwa natafuta kujuwa nini.
Kuna uwezekano umewekewa mobile tracker kwenye simu yako, inabidi uangalie ni apps zipi ambazo zinakula sana data.
 
Kuna uwezekano umewekewa mobile tracker kwenye simu yako, inabidi uangalie ni apps zipi ambazo zinakula sana data.
Unawezaje kuitambuwa hiyo ndani ya simu yako? Niingie wapu kuikaguwa simu? Au nireset simu?
 
Naelewa Iphone iko safe sana ila nataka kujuwa kama mtu ameingilia simu yako mpaka personal msg zako ana access nazo ni nini kilichofanyika? Usipoelewa swali langu huwezi kujuwa natafuta kujuwa nini.
Mkuu kwanza pole sana Hapo mawili either kaweka app ambayo ina record kila unachofanya na kutuma kwa email au hizi app za kuchota taarifa na kumpa, Hatari zaidi ni kama device yako iko rooted mana io app ana ipa authorization kama admin na Kuificha zaidi angalia kwenye lists afu app ambayo huielewi ww itoe ata iwe imeandikwa phone calls, sijui systems just remove, Ukiona ni soo bado format hio device anza upya
 
Mkuu kwanza pole sana Hapo mawili either kaweka app ambayo ina record kila unachofanya na kutuma kwa email au hizi app za kuchota taarifa na kumpa, Hatari zaidi ni kama device yako iko rooted mana io app ana ipa authorization kama admin na Kuificha zaidi angalia kwenye lists afu app ambayo huielewi ww itoe ata iwe imeandikwa phone calls, sijui systems just remove, Ukiona ni soo bado format hio device anza upya
Kuanza upya Siyo ujinga sheikh wangu, nimeireset simu nianze upya, Nina uhakika simu ilichezewa ikawa tunaitumia watu wawili bila kujijuwa.
 
Iphone yenyewe uki JB unaweza install hizo spyware.
Watu wanaongopeana iphone ni secure kiasi hiwezi kudukuliwa. Ukweli ni kwamba kifaa chochote ambacho unaweza kuunganisha kwenye internet sio secure sana kinaweza kudukuliwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom