Msaada:Ni sehemu gani salama zaidi ya kuhifadhi document kwenye simu?

Nami natumia Telegram, ingawa sikufundishwa na yeyote. Nikajua ni njia ya KISHAMBA! Kuanzia sasa, nitakuwa ninajiamini kuhifadhi huko.
Smart4n yangu ilikufa, kuna kitu cha muhimu sana nilichokuwa nimekitunza huko, nilikuwa ninakihitaji, nilikipata kwa kuazima simu ya mtu, na kuweka namba yangu, nikakipata.
Huo ndio ubora wa Tele mkuu, kongole sana kwa kutambua.

Nimeanza kuitumia tele tangu early 2015, maarifa mengine nimeyajazijazi humu kuhusu tele.
 
Wengi washakupa majibu ni Google drive. Me kuanzia no za simu na vitu vingi muhimu naweka google yaani kila nikibadili simu vitu vinarudi kama vilivyo niamue tu mwenyewe kufuta labda.

Ila wengi mna changamoto ya kusahau password na email zenu. Unakuta mtu kila akibadili simu anafungua email mpya. Anakwambia me sikumbuki hata kitu kimoja.
 
Wengi washakupa majibu ni Google drive. Me kuanzia no za simu na vitu vingi muhimu naweka google yaani kila nikibadili simu vitu vinarudi kama vilivyo niamue tu mwenyewe kufuta labda.

Ila wengi mna changamoto ya kusahau password na email zenu. Unakuta mtu kila akibadili simu anafungua email mpya. Anakwambia me sikumbuki hata kitu kimoja.
Nadhani ni njia nzuri muhimu ni kukumbuka password tu
 
Google drive ndiyo suluhisho kuanzia namba za simu, documents, video audio na files zingine pia.

Nimepoteza line na simu mara nyingi ila vitu vyangu huwa vipo salama kabisa Google drive na namba zote za simu huwa nazipata bila tatizo.
Sahihisho kidogo, inayotunza namba za simu ni google account , hizo drive , google photo, gmail , duo ni segments za google account.
 
Mimi huwa natumia MEGA na DROPBOX....
Shida tu utengeneze akaunti yako huko na uhifadhi credentials zako, incase umepoteza simu unalogin tu kwenye account yako..

Mfano kwenye hiyo MEGA account hapo nimetumja tayari 11GB kwenye 20GB
na pia uzuri wa MEGA kuna option ya kufanya uweze kuacess data zako hata ukiwa offline.
Screenshot_20211018-181015_MEGA.jpg
 
Mimi huwa natumia MEGA na DROPBOX....
Shida tu utengeneze akaunti yako huko na uhifadhi credentials zako, incase umepoteza simu unalogin tu kwenye account yako..

Mfano kwenye hiyo MEGA account hapo nimetumja tayari 11GB kwenye 20GB
na pia uzuri wa MEGA kuna option ya kufanya uweze kuacess data zako hata ukiwa offline.View attachment 1978829
Hii Dropbox ipo wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom