Radhiamry
Member
- Jun 8, 2021
- 13
- 2
Habari za majukumu,
Jaman nnaomba ushaur course ip itakua nzur kwang kusomea na yenye soko kwa sasa nmemaliza katika mchepuo wa egm nilikuwa naiwaza architecture na mambo kuhusiaana na aardhi lakini nikaambiwa kwa now ntasota sana nikisomea hvyo naombeni ushaur wenu please.
Jaman nnaomba ushaur course ip itakua nzur kwang kusomea na yenye soko kwa sasa nmemaliza katika mchepuo wa egm nilikuwa naiwaza architecture na mambo kuhusiaana na aardhi lakini nikaambiwa kwa now ntasota sana nikisomea hvyo naombeni ushaur wenu please.