JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 471
Madeni NMB 5,80,000 per month miaka 5
Nilijenga ,nikanunua mashamba kuwekeza
Mshahara kwa sasa laki 5+
Nyumbani mama mzazi ni tegemezi na madogo 2
Mfanyakazi namlipa mimi
Bill ya maji mimi
Umeme
Nyumbani kwangu
Bill ya solar 690000 per month
Mtoto nimezaa nje kabla ya kuoa ada 560000 kwa mwaka matumizi 85000 per month
Huduma ya chakula home kwangu
Maendeleo ya nyumbani
Ndugu zangu nitatokaje kwenye hili balaaa hadi kuna mda nakua na hasira tu kwani naendelea kurudi nyuma,hata nguo ninazovaa za kiwango cha chini suruali 2, viatu vya 2500
Nimekuja kumwaga stress hapa mnipe ushauri
Karibuni kwani nimepauka nimepoteza nuru ya uso na makunyazi yameanza kuja kwa kasi
KUTOKA KWA RAFIKI YANGU NIMESOMA NAE
Amekuja jana jioni nilipokua nimerudi kutoka katika kazi za watu tusaidiane kumshauri mm nilichoka nikamwambia tuonane jumamosi tutoke sehemu
Nilijenga ,nikanunua mashamba kuwekeza
Mshahara kwa sasa laki 5+
Nyumbani mama mzazi ni tegemezi na madogo 2
Mfanyakazi namlipa mimi
Bill ya maji mimi
Umeme
Nyumbani kwangu
Bill ya solar 690000 per month
Mtoto nimezaa nje kabla ya kuoa ada 560000 kwa mwaka matumizi 85000 per month
Huduma ya chakula home kwangu
Maendeleo ya nyumbani
Ndugu zangu nitatokaje kwenye hili balaaa hadi kuna mda nakua na hasira tu kwani naendelea kurudi nyuma,hata nguo ninazovaa za kiwango cha chini suruali 2, viatu vya 2500
Nimekuja kumwaga stress hapa mnipe ushauri
Karibuni kwani nimepauka nimepoteza nuru ya uso na makunyazi yameanza kuja kwa kasi
KUTOKA KWA RAFIKI YANGU NIMESOMA NAE
Amekuja jana jioni nilipokua nimerudi kutoka katika kazi za watu tusaidiane kumshauri mm nilichoka nikamwambia tuonane jumamosi tutoke sehemu