Msaada: Ni hatua gani za kuchukua ili mwajiri ajue kiwango chako halisi cha Elimu?

Ngaliba Dume

JF-Expert Member
Oct 6, 2010
1,710
3,669
Wasalaamu...Ndugu wana Jf naomba tusaidiane,kuna jamaa yangu yeye ana elimu ya kiwango cha Masters...lakin kutokana na uhaba wa ajila alitumia cheti cha degree kupata kazi...amepata na anaendelea vizuri na kazi zake,na mwajili wake(Serikali) hajui kuwa jamaa ana Masterz,je uko mbeleni atatumia utaratibu gani ili kiwango chake stahiki cha elimu kijulikane?na je atastahili kuongezwa mshahala kwa kiwango cha elimu yake iyo ya Masters?ye hana shda ya cheo kwa sasa..yupo radhi abaki ktk level hiyohiyo lakn Salary iwe kulingana na elimu yake hapo baadae...MSAADA KWA WANAOFAHAMU TAFADHARI.
 
Mheshimiwa Ngaliba dume unanishangaza kidogo unazungumza kama vile hujasoma kwa malengo. Uhasibu ni profession tofauti na ualimu. Kwa vyovyote vile hutaweza kufanya kazi yako au kupanda daraja ukiwaa mwalimu kwa kutumia cheti cha uhasibu. Kwa hali hiyo basi jitihada zako za kwanza ziwe ni kubadili kazi na wala sio kupanda cheo. Kama mwajiri wako hana nafasi hiyo basi nakushauri vunja mkataba na mwajiri wa sasa baada ya kutafuta na kupata kazi nyingine AU kwenye kampuni au shirika lingine. Lakini katika shule za msingi huna nafasi.
 
Mheshimiwa Ngaliba dume unanishangaza kidogo unazungumza kama vile hujasoma kwa malengo. Uhasibu ni profession tofauti na ualimu. Kwa vyovyote vile hutaweza kufanya kazi yako au kupanda daraja ukiwaa mwalimu kwa kutumia cheti cha uhasibu. Kwa hali hiyo basi jitihada zako za kwanza ziwe ni kubadili kazi na wala sio kupanda cheo. Kama mwajiri wako hana nafasi hiyo basi nakushauri vunja mkataba na mwajiri wa sasa baada ya kutafuta na kupata kazi nyingine AU kwenye kampuni au shirika lingine. Lakini katika shule za msingi huna nafasi.

Nahisi Utakuwa Umepitiwa Kidogo Mkuu.. Jaribu KuSoma Vizuri Post Yake!!! Hajazungumzia Kuhusu Uhasibu Wala Uwalimu..Nadhani Utakuwa Umechanganya Na Thread Moja Ilikuwa Inaelezea Uliyoyaelezea
 
Mheshimiwa Ngaliba dume unanishangaza kidogo unazungumza kama vile hujasoma kwa malengo. Uhasibu ni profession tofauti na ualimu. Kwa vyovyote vile hutaweza kufanya kazi yako au kupanda daraja ukiwaa mwalimu kwa kutumia cheti cha uhasibu. Kwa hali hiyo basi jitihada zako za kwanza ziwe ni kubadili kazi na wala sio kupanda cheo. Kama mwajiri wako hana nafasi hiyo basi nakushauri vunja mkataba na mwajiri wa sasa baada ya kutafuta na kupata kazi nyingine AU kwenye kampuni au shirika lingine. Lakini katika shule za msingi huna nafasi.

Mkuu naona umechanganya madesa,ebu soma vizuri halafu unisaidie....si kila aliyeenda shule anajua kila kitu!Learning is a long run process
 
Amwandikie barua mwajiri wake akiambatanisha na cheti chake cha masters ili kiwemo kwenye file lake, huko mbeleni wanawaza ku-update mshahara n.k
 
Amwandikie barua mwajiri wake akiambatanisha na cheti chake cha masters ili kiwemo kwenye file lake, huko mbeleni wanawaza ku-update mshahara n.k

Hiyo ndo njia pekee ya kufanya..Na kama ni taaasi ya wizara fulani lazima umwandikie katibu mkuu wa wizara husika kupita kwa bosi wako ili iende wizara husika kwa msaada wa baadae..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom