violetrose
Member
- Jul 4, 2016
- 14
- 0
Akuuu sitaki ya mkononiNipe pesa nikuuzie ninayo mkuu nimeinunua mwaka jana nikaitumia kulima misimu miwili ya tikiti basi.
Akuuu sitaki ya mkononiNipe pesa nikuuzie ninayo mkuu nimeinunua mwaka jana nikaitumia kulima misimu miwili ya tikiti basi.
Waswasi wako tuuh..! Nenda na laki nne ns nusu utapata mpya km yangu.Akuuu sitaki ya mkononi
Kweli kbs cz cc wabongo tumepoteza uaminifu ukiona mtu anauza kitu chake uwe na Shaka nachoWasowasi wako tuuh..!
Ni Aina gani, na ukubwa ganiMashine yangu haijawahi kizima zaid ya mafuta kuisha, afu nimwaga oil mara moja tu, bado imara sana ata warrant yake itaisha by august..
Capacity to pump water per minutesNi Aina gani, na ukubwa gani
Honda 5hp bomba inchi 3.Ni Aina gani, na ukubwa gani
Na izo zngineHonda 5hp bomba inchi 3.
Yani engine na inamwaga maji Lita ngapi kwa dkikaNa izo zngine
Asante kwa wazo zurKama una m1.5 waweza funga solar pumps. Hii ni jumla na panel. Ukitaka na battery ni kama 2m. Mi natumia hizi solar pump kwa kilimo na zinanisaidia sana. Katika umbali wa 200m napata 40ltr per minute. Slope 3m.
Umwagiliziaji ni rahic maana natumia horse pipe za nch 1.
Asante kwa ushauriChukua pump ya mchina tu. Affordable price and easily oparated.
Chukua HP 5.5/6.5 WARRIOR 3". Price range 250-300k, delivery pipe 30metres-100metres(full length @200k) plus in-let pipe (depends how far/deep your pond or inclination from the source) but its price ranges frm 10k-15k@ft.
Hope you got some hits mkuu!
Nimeipenda hii rfkKama una m1.5 waweza funga solar pumps. Hii ni jumla na panel. Ukitaka na battery ni kama 2m. Mi natumia hizi solar pump kwa kilimo na zinanisaidia sana. Katika umbali wa 200m napata 40ltr per minute. Slope 3m.
Umwagiliziaji ni rahic maana natumia horse pipe za nch 1.
Kweli kiongoziNami pia nasubiria wataalumu wa mambo! Watujuze mkuu
Naomba maelezo kidogo nduguKwa sifa hizo hiyo unayotaka Honda ndogo itakufaa