Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,859
- 1,301
Naoma msaada wenu wadau.
Nina mpango wa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji, natakiwa kusukuma/kuvuta maji kwa umbali wa mita 250 (hakuna mwinuko mkubwa) halafu niyapandishe juu urefu wa mita 6 ili yaingie kwenye simtank, tayari kwa umwagiliaji.
Eneo langu linweza kufikia eka 6. Je ninunue mashine yenye ewezo gani (HP), kama kuna anayejua aina nzuri ya mashine naoma anisaide pamoja na bei pia upatikanaji wa spares ni muhimu.
Asanteni
Nina mpango wa kuanzisha kilimo cha umwagiliaji, natakiwa kusukuma/kuvuta maji kwa umbali wa mita 250 (hakuna mwinuko mkubwa) halafu niyapandishe juu urefu wa mita 6 ili yaingie kwenye simtank, tayari kwa umwagiliaji.
Eneo langu linweza kufikia eka 6. Je ninunue mashine yenye ewezo gani (HP), kama kuna anayejua aina nzuri ya mashine naoma anisaide pamoja na bei pia upatikanaji wa spares ni muhimu.
Asanteni