STERLING2014
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 239
- 72
Nilivoinunua simu hii ilikuwa poa sana kwenye mtandao hasa nikitumia laini ya voda kama mnavojua ilivona kasi...
Lakini nina miezi minne nasumbuka sana na mtandao
1. Mtandao wa internet unaonesha kabsa H+ lkn audownload wala auwezi kusearch kabsa chochote...
2. Pia hata mtandao wa kupiga, kupigiwa na kutuma msg umekuwa ishu sana... Nawezea nkatuma msg... Kuangalia badae nakuta imefel kusend... Au kuzunguka muda mref badae ndo ikasend. Pia naweza piga simu ikakata ikionesha network problem. Nikipigiwa pia wengi awanipati..
Naambulia msg kuwa nlipigiwa na namba fulani. Msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua hili tatizo plz.
Pia nmejaribu kuweka lain hii kwenye simu nyingine mambo yako poa... Hakuna ttzo lolote
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini nina miezi minne nasumbuka sana na mtandao
1. Mtandao wa internet unaonesha kabsa H+ lkn audownload wala auwezi kusearch kabsa chochote...
2. Pia hata mtandao wa kupiga, kupigiwa na kutuma msg umekuwa ishu sana... Nawezea nkatuma msg... Kuangalia badae nakuta imefel kusend... Au kuzunguka muda mref badae ndo ikasend. Pia naweza piga simu ikakata ikionesha network problem. Nikipigiwa pia wengi awanipati..
Naambulia msg kuwa nlipigiwa na namba fulani. Msaada kwa mwenye kujua namna ya kutatua hili tatizo plz.
Pia nmejaribu kuweka lain hii kwenye simu nyingine mambo yako poa... Hakuna ttzo lolote
Sent using Jamii Forums mobile app