Msaada ndugu; nimeibiwa simu aina ya samsung galaxy note 1... Nina full imei number

anonymousafrica

JF-Expert Member
Aug 24, 2016
611
639
NDUGU.. NIMEIBIWA SIMU AINA YA SAMSUNG GALAXY NOTE 1 ... NINA FULL IMEI NUMBER.. NAOMBA KWA DEVELOPER YEYOTE ANISAIDIE JINSI YA KUITRACK LOCATION SEHEM HII PHONE ILIPO AU ANISAIDIE KAUJUZI JINSI YA KUFANYA... SIWEZI KUWEKA IMEI NUMBER HADHARANI KWA SECURITY ZAIDI

msaada ndugu zangu

2016-11-09 10.03.54.png
 
NDUGU.. NIMEIBIWA SIMU AINA YA SAMSUNG GALAXY NOTE 1 ... NINA FULL IMEI NUMBER.. NAOMBA KWA DEVELOPER YEYOTE ANISAIDIE JINSI YA KUITRACK LOCATION SEHEM HII PHONE ILIPO AU ANISAIDIE KAUJUZI JINSI YA KUFANYA... SIWEZI KUWEKA IMEI NUMBER HADHARANI KWA SECURITY ZAIDI

msaada ndugu zangu

View attachment 442037
Ukimpata askari anayehusika na kitengo cha IT anaweza kufanya hiyo kazi vyema.
 
hyo si wanaenda kuchange imei tuu kazi inaisha labda kama aliekuibia ni mjinga lakini kuna simu hazibadilishiki imei kama htc sony etc
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom