princessita
Member
- Aug 19, 2013
- 21
- 6
Ahhhh jamani duniani hamna jema kweli
Kila jalala na vichaa wake....
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman
habari wakuu wa MMU Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu. yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman
daaaaaaaahhh mkuu kiukweli nakuonea huruma coz they say THERE IS NO LOVE WITHOUT JEOULOUS,fanya utafiti labda ana sababu zake na sio kwamba hakupendi.au pengine anaheshimu sana privacy ya mtu.
Kila jalala na vichaa wake....
Duh! Kweli mi naona watanzania tunaiga maisha ya watu wengine au tumezoea matatizo. Maana kupekuliwa simu ni matatizo hayo,wewe me sasa nikupe taarifa tu mimi ni ke na huwa sipekui simu ya mpenzi wangu sio kwasababu sina wivu nae ila na mwamini na sitaki niwe insecure naye. Wote ni watu wazima na kama tumeamua kuwa katika mapenzi kwaahiyo tunajua nini tunafanya sio kuanza kupekuana kama watoto wadogo,mkubwa hachungwi anaelezwa kama kuna sehemu mambo yamekwenda vibaya! Maisha yetu yanakwenda vizuri,acha pressure usijitafutie matatizo ambayo hayapo!
hahaaa!!! mkuu unaishi uswazi nini!
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman
Huenda ana mpango wa kando kwa hiyo ana set rule of the game (by implication)...sishiki yako na wewe usishike yangu...
Huwezi kuwa pro-kushikiana simu wakati wewe mwenyewe una vimeo
Hata mimi nimewaza hivi hivi.
Chunga sana...
Wivu unahusika kwenye mapenzi ya kweli aliimba Jide.
Ila je, ni kwenye simu tu au kila kitu? In presence and absence?
Nimempa jibu ambalo ni matamanio ya moyo wake, wanasema motto akililia wembe usimnyime
habari wakuu wa MMU
Mwenzenu nina tatzo ktk mapenzi na mpz wangu.
yaan n hv n mwaka wa pili kwny mahusiano mpz wangu hajawai shika cmu yangu kuikagua inaniuma sana yani hata umuachie makusud haishiki kuifungua kuangalia sma wala call log yan nateseka kwa hilo na kuna cku nikaiacha kitandani makusudi akiwepo nikatoka nje na kuanza kuipiga hyo cm yangu kwa cm nyingine ambayo nilisevu jna la honey nilipiiga wee wap hakuigusa tuma sms wap wala.hakustuka ivi ananipenda kweli huyu au ananizuga tu yan roho inauma kweli sujui nifanyeje mnisaidie jaman