fiksiman
JF-Expert Member
- May 17, 2008
- 402
- 104
Jamani naombeni msaada wa kisheria na hata ushauri. Nataka kuoa mtoto mmoja wa Kiunguja ila wazazi wake na familia yake haitaki kwasababu mi natoka Bara na pia ngozi yangu nyeusi (huyo mtoto ni mwarabu). Sasa wameanza juhudi za kumtafutia Mume.
Huyo mtoto yuko tayari kutoroka kuja kuishi na mimi, sasa nataka kujua kama naweza kumuoa bila idhini ya wazazi wake au ndugu maana hakuna njia nyingine na ameniambia ikishindakana basi yeye bora atangulie kaburini kuliko kuolewa na Babu mwenye wake wanne.
Kwa taarifa mimi ni muislam.
Mwenzenu katika Mashaka
Fiksi.
Huyo mtoto yuko tayari kutoroka kuja kuishi na mimi, sasa nataka kujua kama naweza kumuoa bila idhini ya wazazi wake au ndugu maana hakuna njia nyingine na ameniambia ikishindakana basi yeye bora atangulie kaburini kuliko kuolewa na Babu mwenye wake wanne.
Kwa taarifa mimi ni muislam.
Mwenzenu katika Mashaka
Fiksi.