DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,919
- 45,352
Mkuu nahitaji kufanyiwa marekebisho katika Application ya chuo , Hapo udom
Napiga Simu zenu hazipokelewi.
Email hazijibiwi.
Katika kuomba chuo nilikosea kuweka namba yangu ya First sitting, ambayo ndo nimeitumia kuomba mkopo .
Namba nilioweka ni ya second sitting
MSAADA WENU WAKUU MKUU
Napiga Simu zenu hazipokelewi.
Email hazijibiwi.
Katika kuomba chuo nilikosea kuweka namba yangu ya First sitting, ambayo ndo nimeitumia kuomba mkopo .
Namba nilioweka ni ya second sitting
MSAADA WENU WAKUU MKUU