Samir seif
New Member
- Jul 20, 2018
- 1
- 0
Samahani naomba kuulizaa endapo mtu matokeo yake ya kidato Cha sita hayajatoka kwasababu hakulipia
Sasa tayari kalipia wiki ya pili sasa haoni matokeo yake anaweza fuata hatua gani? Arudi NECTA au azidi kusubiri maana yupo mbali kwasasa.
Sasa tayari kalipia wiki ya pili sasa haoni matokeo yake anaweza fuata hatua gani? Arudi NECTA au azidi kusubiri maana yupo mbali kwasasa.