Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,552
- 8,625
Ni miaka mitatu tangu nikutane na mchumba (single mother). Ninaishi naye kinyumba kwa muda wote huo bila kwenda kwao kujitambulisha, ila nafsi inanisuta, nataka kwenda kujisalimisha mwakani.
Shida ni kuwa kwa muda wote huo sijaridhika na mienendo ya huyu bidada kwani licha ya kuwa msaada mkubwa kwangu kunipikia na kusafisha nyumba, ananitisha na kupenda sana kwenda kwao bila limit, tena kwa kujiamulia na ukimuuliza "vipi mbona bila kuaga?" tunakosana naye.
2. Nilimfungulia biashara ya duka ikamshinda.
3. Kuna wakati akiondoka hadi nimfuate kwao zaidi ya mara 5.
Hiyo nimeona ni ishara ya hatari kwangu nataka nijilinde au kujihami mapema nisije kuwa naenda kwao kulipia milipuko baada ya wiki adai tugawane vitu.
Kiukweli alinikuta na godoro tu nalala juu ya mkeka hadi Sasa tunamiliki nyumba. Licha ya kuwa ni mama wa nyumbani ila ni msaada sana kwangu kwa masuala ya nyumbani.
Shida yangu ni je nawezaje kujimilikisha nyumba hiyo na vitu vyote kabla ya kulipia posa kwao?
Naomba kuwasilisha.
Shida ni kuwa kwa muda wote huo sijaridhika na mienendo ya huyu bidada kwani licha ya kuwa msaada mkubwa kwangu kunipikia na kusafisha nyumba, ananitisha na kupenda sana kwenda kwao bila limit, tena kwa kujiamulia na ukimuuliza "vipi mbona bila kuaga?" tunakosana naye.
2. Nilimfungulia biashara ya duka ikamshinda.
3. Kuna wakati akiondoka hadi nimfuate kwao zaidi ya mara 5.
Hiyo nimeona ni ishara ya hatari kwangu nataka nijilinde au kujihami mapema nisije kuwa naenda kwao kulipia milipuko baada ya wiki adai tugawane vitu.
Kiukweli alinikuta na godoro tu nalala juu ya mkeka hadi Sasa tunamiliki nyumba. Licha ya kuwa ni mama wa nyumbani ila ni msaada sana kwangu kwa masuala ya nyumbani.
Shida yangu ni je nawezaje kujimilikisha nyumba hiyo na vitu vyote kabla ya kulipia posa kwao?
Naomba kuwasilisha.