rekebisah hpa kwanza.Binafsi ni mtu wa kujitenga sana, sio mtu wa kujichanganya kabisa
Wapo wengine wanaongea lakini kichwani yaani hawasemi ..ila kichwani ndio wanaunda vikao...Huwa najadili kuhusiana na jambo/kitu fulani mpaka kufikia mwafaka ..
hutopona! lazima kuwe na sababu au malezi yaliyokufanya uwe unapenda upekee.! kma jamii inayokuzunguka inajua uselfish wko! na ww ukawa unafahamu hlo, basi hlo ni tatzo! na kama jamii inayokuzunguka ni selfish bas hamna tatzo bossHiyo ndiyo hulka yangu mkuu, na feel more comfortable nikiwa alone ..
Ni ukweli maana mimi ukinishtukiza huta acha kudhani nina tatizo kichwani ..Wapo wengine wanaongea lakini kichwani yaani hawasemi ..ila kichwani ndio wanaunda vikao...
Hawa mda mwingi wanapenda kuwa peke yao...maana wanakuwa bize kichwani ..
Ni nzuri ila ikizidi sana ..ni tatizo maana utaonekana una walakini kichwani na hii itafanya ugumu kwenye jamii inayokuzunguka.
Bro hauna tofauti nao.Tofauti ni kwamba mimi siongei peke yangu barabarani ..
Huo ndo uwezekano mkubwa sana, waone wataalamu wa magonjwa ya akili watakusaidia sanaIna wezekana ..