ok,ngoja nirudi polisi tenaMkuu cheguvala, siyo RB, unapewa RB pia utapewa loss report form, ambayo unalipia mia 5 na kupewa risiti na copy ya form hiyo na utaipeleka benki.
Siku hizi Polisi hawatoi loss report bila kuwa na barua ya utambulisho toka BankKaripoti kwanza polisi upate loss report kisha nenda tawi la CRDB uwape majina ya akaunti yako kisha utapata info zote za akaunti yako.
Hakuna utaratibu wa kuwataarifu kuwa umepoteza kadi yako ili izuiliwe kufanya miamala na wewe kupewa nyingine?Nime poteza ATM CARD leo ya CRDB. Naombeni procedure za kufata pia na gharama za kupatiwa Card mpya
Nime poteza ATM CARD leo ya CRDB. Naombeni procedure za kufata pia na gharama za kupatiwa Card mpya