Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 23,410
- 36,559
Habari Jf Doctor,
Nina Baba yangu wa hiyari,alipata stroke ya upande wa kulia kwa bahati nzuri alitibiwa pale Moi na kurudisha fahamu vizuri kabisa na hatimaye kuruhusiwa kutoka hospital.
Alikuwa akifanya mazoezi kwa siku 3 per week hapo njia panda ya kwa mzee wa Upako kuna kidispensary cha Wakorea,alifanya kwa muda kama 3weeks,hali yake imeimarika na amesafiri kurudi nyumbani changamoto mkoa na eneo alipo hakuna vifaa vya mazoezi kwenye hospital ya karibu.
Ombi,kama kuna mtu anavijua vifaa ambavyo anaweza kuvitumia akiwa nyumbani kama exercise bike na vingine,naomba anisaidie package ambayo itaweza kumsaidia na pia hata ushauri wa kitaalamu wa nini afanye au diet.
Kiufupi anaweza kutembea kwa kidogo kwa kushika ukuta au gongo na anakula vizuri na story kama kawaida na imebaki tu kutembea hana tatizo lingine.
Natanguliza shukrani.
Nina Baba yangu wa hiyari,alipata stroke ya upande wa kulia kwa bahati nzuri alitibiwa pale Moi na kurudisha fahamu vizuri kabisa na hatimaye kuruhusiwa kutoka hospital.
Alikuwa akifanya mazoezi kwa siku 3 per week hapo njia panda ya kwa mzee wa Upako kuna kidispensary cha Wakorea,alifanya kwa muda kama 3weeks,hali yake imeimarika na amesafiri kurudi nyumbani changamoto mkoa na eneo alipo hakuna vifaa vya mazoezi kwenye hospital ya karibu.
Ombi,kama kuna mtu anavijua vifaa ambavyo anaweza kuvitumia akiwa nyumbani kama exercise bike na vingine,naomba anisaidie package ambayo itaweza kumsaidia na pia hata ushauri wa kitaalamu wa nini afanye au diet.
Kiufupi anaweza kutembea kwa kidogo kwa kushika ukuta au gongo na anakula vizuri na story kama kawaida na imebaki tu kutembea hana tatizo lingine.
Natanguliza shukrani.