Hustling
New Member
- Dec 13, 2018
- 2
- 1,190
Jamani msaada maana ishakuwa kero,nikishaoga tu Nawashwa Sana mgongoni na kichwani,nachomwa chomwa , tatizo linaweza likawa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣. Malaria nayo dalili zake kuwashwa?Acha kuogea Maji ya Mvua pia kacheki Malaria
Katikati ya hizo solution ndo kuna moja litamfaa Mimi nilijaribu zote iliyofaa Ni kuoga maji ya moto na sabuni tu bila lile dodoki gumu.. Hiyo Ni baada ya kwenda Sana hospital nishakunywa ile ya vidonge 60 wanasema et Ni mchafuko Wa damu hawa Ma Dr wetu..Jaribu yafuatayo
Oga bila sabuni
Oga na sabuni ya kawaida kama zile za kufulia
Oga na medicated soap kama vile dettol
Oga maji ya moto bila sabuni
Cheki kama utapata ahueni mahali mojawapo hapo juu
Tatizo ni kuoga. Endelea tu kutokuoga kama zamani hautawashwa.Jamani msaada maana ishakuwa kero,nikishaoga tu Nawashwa Sana mgongoni na kichwani,nachomwa chomwa , tatizo linaweza likawa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatumia maji ya mvua,kisima,bwawa,mito au Bomba kukoga,Jamani msaada maana ishakuwa kero,nikishaoga tu Nawashwa Sana mgongoni na kichwani,nachomwa chomwa , tatizo linaweza likawa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole hivyo vyote viwili Ni tatizo kwa ngozi yako na sababu Ni mzio na maji matamu ,eneo ulipo hakupatikani maji ya chumvi? Na Kama hayapatikani chemsha maji ya kukoga acha Dettol kogea sabuni ya papaya