Msaada: National Housing-Upanga&Posta, Dar

Jaza fomu ya maombi then peleka ofisi za NHC, ikipatikana wakawasiliana na wewe then watakukabidhi ukitimiza vigezo na mashrti

Nashukuru kwa ushauri. Nilifikiri kuna njia ya mkato.
.
.
Code uliyoitumia hapo juu: Kipenyo kazini, kumbe ndo ufafanuzi wake🤔🤔.

Asante
 
Back
Top Bottom