copernicucci98
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 1,223
- 2,319
Habarini wadau!
Naombeni connections, natafuta space kwa hizo nyumba. Asanteni!
Naombeni connections, natafuta space kwa hizo nyumba. Asanteni!
😂😂😂Kipenyo kazini
Nieleweshe mkuu. Naona likes nyingi halafu nimetoka patupu.Kipenyo kazini
Nieleweshe mkuu. Naona likes nyingi halafu nimetoka patupu.
Jaza fomu ya maombi then peleka ofisi za NHC, ikipatikana wakawasiliana na wewe then watakukabidhi ukitimiza vigezo na mashrti
Nimepata muongozo wa kujaza fomu ya maombi..