Msaada nataka simu yangu nlonunua tigo ikubali line zote

jerryempire

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
5,091
8,547
jamani nmenunua sm kutoka tigo shop,sasa nataka iwe na uwezo wa kukubali line zote maana line moja inakubali tigo na line 2,inakubali line yoyote shida ni kwamba 3g,ipo line one tu ambayo ndo tigo ila line no 2,imefungwa 3g msaada,nataka ikubali line zote kwa line 1,au 3g ikubali line zote
 
jamani nmenunua sm kutoka tigo shop,sasa nataka iwe na uwezo wa kukubali line zote maana line moja inakubali tigo na line 2,inakubali line yoyote shida ni kwamba 3g,ipo line one tu ambayo ndo tigo ila line no 2,imefungwa 3g msaada,nataka ikubali line zote kwa line 1,au 3g ikubali line zote

KANUNUE NYINGINE, RAHISI GHARI
 
kwani haiwezekani kubadili network settings ili unapotaka kutumia line two iweze kupata hiyo 3g option ?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom