Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Wadau nataka nianze kutumia dawa kwa ajili ya kupata usingizi ule mzito zaidi.
Maana nina mawazo na stress zinazonifanya nikose usingizi kabisa usiku kutokana na kufikiria mambo mengi kuhusu dunia na maisha.
Hivyo naombeni ushauri wenu kama kuna madhara yoyote naweza kuyapata nikiwa natumia dawa hizi.
Maana nina mawazo na stress zinazonifanya nikose usingizi kabisa usiku kutokana na kufikiria mambo mengi kuhusu dunia na maisha.
Hivyo naombeni ushauri wenu kama kuna madhara yoyote naweza kuyapata nikiwa natumia dawa hizi.