memory card
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 252
- 153
Wakuu nina monitor ya nchi kama 14 hivi nataka niiconnect na deki au king'amuzi niangalie burudani kupitia hiyo monitor iwe sasa kama tv hivi
1) Je inawezekana?
2) Kama inawezekana niwe na kitu gani hasa?
3) Na je hiko kitu Tanzania kipo na vipi bei yake,
NB: KAMA HIKO KITU UNACHO TUNAWEZA TUKAFANYA BIASHARA UNIUZIE
nawasilisha
1) Je inawezekana?
2) Kama inawezekana niwe na kitu gani hasa?
3) Na je hiko kitu Tanzania kipo na vipi bei yake,
NB: KAMA HIKO KITU UNACHO TUNAWEZA TUKAFANYA BIASHARA UNIUZIE
nawasilisha