Msaada: Nataka kutumia monitor kama TV

memory card

JF-Expert Member
Dec 17, 2013
252
153
Wakuu nina monitor ya nchi kama 14 hivi nataka niiconnect na deki au king'amuzi niangalie burudani kupitia hiyo monitor iwe sasa kama tv hivi
1) Je inawezekana?
2) Kama inawezekana niwe na kitu gani hasa?
3) Na je hiko kitu Tanzania kipo na vipi bei yake,
NB: KAMA HIKO KITU UNACHO TUNAWEZA TUKAFANYA BIASHARA UNIUZIE
nawasilisha
 
travellwrINAMAL9010045 said:
wakuu nina monitor ya nchi kama 14 hivi nataka niiconnect na deki au king'amuzi niangalie burudani kupitia hiyo monitor iwe sasa kama tv hivi
1) je inawezekana?
2) kama inawezekana niwe na kitu gani hasa?
3) na je hiko kitu tanzania kipo na vipi bei yake,
NB: KAMA HIKO KITU UNACHO TUNAWEZA TUKAFANYA BIASHARA UNIUZIE
nawasilisha
Nunua USB TUNNERNunua USB TUNNER itamaliza shida yako nenda kwenye maduka ya computer accessories zipo nyingi tu kuanzia 35,000 + hii ni kama utatumia OS kama windows au OS unayo itumia wewe kwenye pc yako,lakin kama una monitor pekee na hauhitaji kupitia kwenye OS basi tafuta vga to av/rca converter boX pia zipo maducani nyingi ti hasa maduka ya computer accesories lakin pia na cable zinazo convert pia zipo lakin nyingi huwa hazikubali na zinachagua monitors baadhi zinakubali baadhi zinagoma hivyo box ni bora zaid.
 
Nunua USB TUNNERNunua USB TUNNER itamaliza shida yako nenda kwenye maduka ya computer accessories zipo nyingi tu kuanzia 35,000 + hii ni kama utatumia OS kama windows au OS unayo itumia wewe kwenye pc yako,lakin kama una monitor pekee na hauhitaji kupitia kwenye OS basi tafuta vga to av/rca converter boX pia zipo maducani nyingi ti hasa maduka ya computer accesories lakin pia na cable zinazo convert pia zipo lakin nyingi huwa hazikubali na zinachagua monitors baadhi zinakubali baadhi zinagoma hivyo box ni bora zaid.
thanks mkuu
 
ninayo monitor ya dell inch 20 bado mpya kabisa ina tv ndan yake, hii haina haja ya ku conect na kitu chochote zaid ya kingamuz chako tu, kama uko tayar ni PM tufanye biashara
 
Back
Top Bottom