Habari zenu? Naombeni mnishauri kung'amuzi kizuri na bei zake nipo Dodoma na shida na king'amuzi ila sijui kipi ni kizuri zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyingi mno na Wana Radio station nyimbo nyingi sana mkuu ,piga tu simu wako hewani boss
Nyingi mno na Wana Radio station nyimbo nyingi sana mkuu ,piga tu simu wako hewani boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana myNyingi mno na Wana Radio station nyimbo nyingi sana mkuu ,piga tu simu wako hewani boss
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa kweliDalali huyu
ashomileHii njia ya kununua kitu Google Play Store kwa kutumia salio la kawaida yaani Vodacom airtime nani alishaitest na ikakubali?
Ahsante! Mkwawa, Bwana ashomile naona kama vile mara ya mwisho kuingia kwenye hili jukwaa ni jmosi, So kama ana thread alialeta nipatie link tu niipitie!
Coment 284 anzia hapoAhsante! Mkwawa, Bwana ashomile naona kama vile mara ya mwisho kuingia kwenye hili jukwaa ni jmosi, So kama ana thread alialeta nipatie link tu niipitie!
Poa mkuu, Nashukuru!