Msaada: Nataka kumuamisha mdogo wangu shule

GANA BANKS

JF-Expert Member
Apr 1, 2020
598
853
Habari za wakati huu wakuu,

Kuna jambo naomba kusaidiwa, kuna mdogo wangu naishi nae hapa nyumbani nataka kumtoa shule ya kata ya kutwa na kumpeleka shule yoyote ya serikali ya bweni inayopatikana mikoa ya Pwani, Mtwara, Lindi, Morogoro na Dodoma.

Anaingia kidato cha tatu, silizishwi na mwenendo wake wa kitaaluma pia niko tayali arudie tena kidayo cha pili.

Mwenye uelewa kwenye hili, connection ya walimu wakuu katika mikoa hiyo tajwa naomba anisaidie.

Au kama kuna taratibu za kufata Pia naomba nionyeshwe njia.

Ahsante naomba kuwasilisha.

Natanguliza Shukrani
 
Habari za wakati huu wakuu,

Kuna jambo naomba kusaidiwa,kuna mdogo wangu naishi nae hapa nyumbani nataka kumtoa shule ya kata ya kutwa na kumpeleka shule yoyote ya serikali ya bweni inayopatikana mikoa ya pwani,mtwara,lindi,Morogoro na Dodoma.

Anaingia kidato cha tatu,silizishwi na mwenendo wake wa kitaaluma pia niko tayali arudie tena kidayo cha pili.

Mwenye uelewa kwenye hili,connection ya walimu wakuu katika mikoa hiyo tajwa naomba anisaidie,
Au kama kuna taratibu za kufata Pia naomba nionyeshwe njia,
Ahsante naomba kuwasilisha.
Karibuni PM pia

Natanguliza Shukurani
 
Zamani ilikuwa unaenda shule unayotaka ahamie kuomba nafasi, kama nafasi ipo ndo mchakato unaendelea,

Wanaojua waje wasaidie hapa.
 
Habari za wakati huu wakuu,

Kuna jambo naomba kusaidiwa, kuna mdogo wangu naishi nae hapa nyumbani nataka kumtoa shule ya kata ya kutwa na kumpeleka shule yoyote ya serikali ya bweni inayopatikana mikoa ya Pwani, Mtwara, Lindi, Morogoro na Dodoma.

Anaingia kidato cha tatu, silizishwi na mwenendo wake wa kitaaluma pia niko tayali arudie tena kidayo cha pili.

Mwenye uelewa kwenye hili, connection ya walimu wakuu katika mikoa hiyo tajwa naomba anisaidie.

Au kama kuna taratibu za kufata Pia naomba nionyeshwe njia.

Ahsante naomba kuwasilisha.

Natanguliza Shukrani
Kwa sasa ni vigumu kumtoa mwanafunzi aliyechaguliwa shule ya kutwa kumpeleka bweni,walishabadilisha huo utaratibu,kama mwanafunzi ni wabweni basi anaweza kuhamia shule ya bweni na ya kutwa.ila kama mwanafunzi ni wakutwa hawezi kuhamia shule ya bweni bali anaweza kuhamia shule ya kutwa.kama dogo amekuwa chini kitaaluma kuna shule flani za village school of Tanzania (VST) ada yake haizidi laki tano kwa mwaka unaweza kumpeleka huko,na hawamfukuzi mwanafunzi kwa kukosa ada.wao kipaumbele chao ni kutoa elimu hususani kwa mabinti wa kike.na watu waliokosa fursa ya kielimu.Hizi shule ni bora kuliko shule za kata.
 
Kwa sasa ni vigumu kumtoa mwanafunzi aliyechaguliwa shule ya kutwa kumpeleka bweni,walishabadilisha huo utaratibu,kama mwanafunzi ni wabweni basi anaweza kuhamia shule ya bweni na ya kutwa.ila kama mwanafunzi ni wakutwa hawezi kuhamia shule ya bweni bali anaweza kuhamia shule ya kutwa.kama dogo amekuwa chini kitaaluma kuna shule flani za village school of Tanzania (VST) ada yake haizidi laki tano kwa mwaka unaweza kumpeleka huko,na hawamfukuzi mwanafunzi kwa kukosa ada.wao kipaumbele chao ni kutoa elimu hususani kwa mabinti wa kike.na watu waliokosa fursa ya kielimu.Hizi shule ni bora kuliko shule za kata.
Ahsante chief shule hizo zinapatkana wap
 
Back
Top Bottom