Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 643
Habari
Naomba unipe muongozo wa kufanya hivyo, na pia nitataman kujua kama watu watakaoweza kudownload watakua ni members wa jamii forums tu au hata ambao sio memberJF hapa ni mahali pazuri. Liweke hapa tulidaunilodi. Hongera pia kwa kuwa na jarida!