Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

Ukileta jambo hapa hadharani tegemea cho chote mkuu. Unachukua kinachokufaa na kisichokufaa unakiacha. Ndo maana halisi ya uhuru na demokrasia tunayoililia kila siku; na wote hatuwezi kufanana kimawazo na kimtazamo. Ila kuanzisha biashara hata hujui bidhaa utazipata wapi, wateja wako wakoje, ushindani ulivyo na mambo mengine ya msingi siyo njia sahihi ya kuanzisha biashara !!!
Una uwakika kafanya hayo je kama hajalipa fremu na mtaj bado yupo nao. Ndio anakusanya information.. Kuna njia nying za kupata information.. Wew kweli unadhan anaweza lipa fremu alafu ndio aanze tafuta duka la jumla. Hapa kaja kutanua ubongo tu. Wew mshauri vizur maduka yalipo na ukimaliza mrekebishe.

Alafu uandish pia tumetofautiana. How to deliver a message..

Toa ushaur alafu mpe maoni yako nahisi ni msaada tosha. Usimfanye ajione mjinga na hana elim au kakosea. Na kama kakosea still anayo solution.. Na kukosea ni sehemu ya kujifunza
 
Tusipende sana kukosoa au kuongea ili uonekane umetoa point.. Mdau kauliza ajibiwe na sio kukosolewa. Toa ushauri baada ya ushauri toa changamoto na mrekebishe alipokosea. Ujasiria mali haupo darasani ni more practical than theory. Ndio maana hao wanaofundsha hawana hata genge la nyanya...
Wale Wanafundisha Ndiyo Hawa Tunawaita
Wazee Wa:-
Fursa
Motivation Speaker
Kilimo Cha PDF

Yaani Anachosema Ni Nadharia Tu
 
Mimi nasema kila siku kuwa haya mambo yawe yanafundishwa mashuleni na vyuoni huko. Tena liwe somo la lazima. Basic Entrepreneurship skills, Financial skills 101 na stadi zingine za lazima katika maisha ya sasa. Kweli mtu unaingia gharama za kuanzisha biashara ambayo hata hujui bidhaa utazipata wapi? Wateja je? Washindani wako? Gharama zingine? Angeweza kuandika ka business plan hata ka uongo na kweli au kufanya ka utafiti kuhusu mambo ya muhimu ya biashara hii angepata majibu yote ya maswali ya msingi.
Sasa hayo masomo hayapo. Ndio umfundishe sasa muhusika ili ajue cha kufanya. Hata mia ilianza na moja.
 
Anaona kama umeshalipa fremu na pia hujui lolote lile. Kila mtu na uandshi wake na pia kila mtu anazo njia za kutafuta information ya kupata kile anachoitaji..

Na kweli unaeza kuta mtu kakosea ila toa ushauri na umuulize ikiwa na ulazima ili umrekebishe alipokosea. Ila moja kwa moja una mu attack kama mjinga sio poa..

Mwerevu ni yule anaejifanya mjinga kupata analoitaji..

Na kama umelipa fremu na kila kitu ni mambo yanayorekebishika.. Tafuta mtu aliewah kufanya biashara kaa nae chini. Na kama hujui bei zikiwa dukani kwa bei ya reja reja tafuta mdada au mkaka aliewahi kuajiriwa kaa nae hata mwez utapata idea na kurekebishA ulipokesea..

Watu wajibu ulilouliza.
Bado sijakosea mkuu,nimeshalipia mkuu pesa ya pango na bado natafuta namna nzuri ya kufanikisha hii biashara yangu iende sawasawa bila vikwazo wala tatizo lolote that way nikaja huku,
Najua humu kuna watu wakila aina pia kuna wafanya biashara wa vipodoz wanaweza kunisaidia namna ya kufanya namm nikafanikiwa kama wao.

Tatizo kubwa nikujua namna ya kununua na maduka yao yapo sehemu gan na ununuz kwa MTU anaenza anatakiwa kufanyaje nn afanye nn asifanye.

Ni hivyo tu ndugu yangu
 
Una uwakika kafanya hayo je kama hajalipa fremu na mtaj bado yupo nao. Ndio anakusanya information.. Kuna njia nying za kupata information.. Wew kweli unadhan anaweza lipa fremu alafu ndio aanze tafuta duka la jumla. Hapa kaja kutanua ubongo tu. Wew mshauri vizur maduka yalipo na ukimaliza mrekebishe.

Alafu uandish pia tumetofautiana. How to deliver a message..

Toa ushaur alafu mpe maoni yako nahisi ni msaada tosha. Usimfanye ajione mjinga na hana elim au kakosea. Na kama kakosea still anayo solution.. Na kukosea ni sehemu ya kujifunza
Uko sahihi mkuu, huwezi kukulupuka kufanya biashara hii bila kuwa na idea yoyote nimefanya utafiti na Nina MTU anefanya so nipo hapa kuongeza maalifa na namna nzuri ya kuifanya so kama yeye alifanya makosa sitaki namm niyarudie ndo maana nauliza kwa walio tutangulia kwenye hizi mambo.
 
Una uwakika kafanya hayo je kama hajalipa fremu na mtaj bado yupo nao. Ndio anakusanya information.. Kuna njia nying za kupata information.. Wew kweli unadhan anaweza lipa fremu alafu ndio aanze tafuta duka la jumla. Hapa kaja kutanua ubongo tu. Wew mshauri vizur maduka yalipo na ukimaliza mrekebishe.

Alafu uandish pia tumetofautiana. How to deliver a message..

Toa ushaur alafu mpe maoni yako nahisi ni msaada tosha. Usimfanye ajione mjinga na hana elim au kakosea. Na kama kakosea still anayo solution.. Na kukosea ni sehemu ya kujifunza
Ukileta jambo hapa hadharani tegemea cho chote mkuu. Unachukua kinachokufaa na kisichokufaa unakiacha. Ndo maana halisi ya uhuru na demokrasia tunayoililia kila siku; na wote hatuwezi kufanana kimawazo na kimtazamo.

Ila kuanzisha biashara hata hujui bidhaa utazipata wapi, wateja wako wakoje, ushindani ulivyo na mambo mengine ya msingi siyo njia sahihi ya kuanzisha biashara !!!
 
Ukileta jambo hapa hadharani tegemea cho chote mkuu. Unachukua kinachokufaa na kisichokufaa unakiacha. Ndo maana halisi ya uhuru na demokrasia tunayoililia kila siku; na wote hatuwezi kufanana kimawazo na kimtazamo. Ila kuanzisha biashara hata hujui bidhaa utazipata wapi, wateja wako wakoje, ushindani ulivyo na mambo mengine ya msingi siyo njia sahihi ya kuanzisha biashara !!!
Mpe mwongozo wa kupata bidhaa huko kariakoo.. Na pia uhuru wa demokrasia sio kukashifu tu.. Hata kumpa maarifa anayoitaj na kumuongezea alipopungukiwa nahisi ndio inaweza kuwa demokrasia ya kweli.

Kama unao msaada msaidie.

Na pia wengi waliosoma na wanajua hayo unayosema. Mbona wanafeli biashara na wanazidiwa na hao wasio na hayo maarifa..

Bado anayo nafasi ya kufanikiwa kama aliweza pata mtaji na mtu anaejitambua vizuri. Na hapa kaja kuzidisha maarifa.. Personal comments sio poa.
 
Ukileta jambo hapa hadharani tegemea cho chote mkuu. Unachukua kinachokufaa na kisichokufaa unakiacha. Ndo maana halisi ya uhuru na demokrasia tunayoililia kila siku; na wote hatuwezi kufanana kimawazo na kimtazamo. Ila kuanzisha biashara hata hujui bidhaa utazipata wapi, wateja wako wakoje, ushindani ulivyo na mambo mengine ya msingi siyo njia sahihi ya kuanzisha biashara !!!
Kwan biashara kashaanza au ndoo anataka kuanza,
 
Mpe mwongozo wa kupata bidhaa huko kariakoo.. Na pia uhuru wa demokrasia sio kukashifu tu.. Hata kumpa maarifa anayoitaj na kumuongezea alipopungukiwa nahisi ndio inaweza kuwa demokrasia ya kweli.

Kama unao msaada msaidie.

Na pia wengi waliosoma na wanajua hayo unayosema. Mbona wanafeli biashara na wanazidiwa na hao wasio na hayo maarifa..

Bado anayo nafasi ya kufanikiwa kama aliweza pata mtaji na mtu anaejitambua vizuri. Na hapa kaja kuzidisha maarifa.. Personal comments sio poa.

Hakuna mtu aliyekashfiwa hapa. Sina tabia ya kukashifu watu hata siku moja ila nina uhuru kamili wa kutoa mawazo yangu kama wewe ulivyo huru. Mawazo yetu yakitofautiana; au uwasilishaji wa mawazo yetu ukitofautiana ni sawa kwa sababu wewe siyo mimi na mimi siyo wewe. Kujaribu kulazimisha vinginevyo ni kupoteza muda tu kwa sababu haiwezekani.

Na mitandaoni humu; usichukulie kila kitu kuwa ni personal attacks mkuu. Zingine ni general statements tu ambazo mtu anatoa ili kuangazia masuala ya kijamii katika ujumla wake.

Na ukileta jambo hapa hadharani tegemea cho chote mkuu. Unachukua kinachokufaa na kisichokufaa unakiacha. Ndo maana halisi ya uhuru na demokrasia tunayoililia kila siku; na wote hatuwezi kufanana kimawazo na kimtazamo. Ila bado nasisitiza tena kuwa kuanzisha biashara hata hujui bidhaa utazipata wapi, wateja wako wakoje, ushindani ulivyo na mambo mengine ya msingi siyo njia sahihi ya kuanzisha biashara !!!
 
Kwa kuongezea:
Tafuta mtu anayefanya biashara hii jirani na unapotaka kufungua yako, huyu atakusaidia kujua ni bidhaa zipi muhimu zinazotoka sana. Kwa uzoefu wangu vipodozi vinavyotoka sana hutofautiana sehemu na sehemu kutokana na hali ya hewa, eneo (mjini/kijijini), nk. Unaweza kumuomba hata daftari la mauzo kuona ni bidhaa gani zinatoka sana.

Kwenye kununua bidhaa kuwa makini na expire dates, kagua bidhaa kwa bidhaa maana hawa wauzaji wanaweza kukupa za mbele expire date bado mbali afu ndani wakakupigia mixer za zamani zilizo expire au zitazo expire karibuni.

Note:
Usiuze bidhaa zilizo katazwa, wengi watakwambia zinalipa ila kesi zake ni mbaya zitakufilisi mkuu ukidakwa. Binafsi nauza vile vinavyo ruhusiwa tu na inalipa safi kabisa, epuka hizo tamaa.

Ukipata muuzaji wa jumla jenga naye ukaribu ajue we ni mteja wa kudumu ili asikufanyie uhuni kwenye mzigo.

Kuhusu machimbo ya mzigo kariakoo, watasaidia wadau me nachukuliaga Mwanza na A-town mzigo.
 
Kwa kuongezea:
Tafuta mtu anayefanya biashara hii jirani na unapotaka kufungua yako, huyu atakusaidia kujua ni bidhaa zipi muhimu zinazotoka sana. Kwa uzoefu wangu vipodozi vinavyotoka sana hutofautiana sehemu na sehemu kutokana na hali ya hewa, eneo (mjini/kijijini), nk. Unaweza kumuomba hata daftari la mauzo kuona ni bidhaa gani zinatoka sana.

Kwenye kununua bidhaa kuwa makini na expire dates, kagua bidhaa kwa bidhaa maana hawa wauzaji wanaweza kukupa za mbele expire date bado mbali afu ndani wakakupigia mixer za zamani zilizo expire au zitazo expire karibuni.

Note:
Usiuze bidhaa zilizo katazwa, wengi watakwambia zinalipa ila kesi zake ni mbaya zitakufilisi mkuu ukidakwa. Binafsi nauza vile vinavyo ruhusiwa tu na inalipa safi kabisa, epuka hizo tamaa.

Ukipata muuzaji wa jumla jenga naye ukaribu ajue we ni mteja wa kudumu ili asikufanyie uhuni kwenye mzigo.

Kuhusu machimbo ya mzigo kariakoo, watasaidia wadau me nachukuliaga Mwanza na A-town mzigo.
Duuuh kweli aisee ndugu yangu
 
Mimi nasema kila siku kuwa haya mambo yawe yanafundishwa mashuleni na vyuoni huko. Tena liwe somo la lazima. Basic Entrepreneurship skills, Financial skills 101 na stadi zingine za lazima katika maisha ya sasa. Kweli mtu unaingia gharama za kuanzisha biashara ambayo hata hujui bidhaa utazipata wapi? Wateja je? Washindani wako? Gharama zingine? Angeweza kuandika ka business plan hata ka uongo na kweli au kufanya ka utafiti kuhusu mambo ya muhimu ya biashara hii angepata majibu yote ya maswali ya msingi.
Mkuu kama unayajua yote hayo Kwanini usimsaidie? Sio vyote utavipata shuleni/vyuoni
 
Back
Top Bottom