Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,979
Mpendeni yule aliyeomba mtaji
Maandiko yanasema tupendane...iwe kwenye shida au kwenye raha
Maandiko yanasema tupendane...iwe kwenye shida au kwenye raha
ha ha ha mbona nakupenda wewe wakati hujaomba mtaji?Mpendeni yule aliyeomba mtaji
Eeeeh kwakweli hapanaha ha ha mbona nakupenda wewe wakati hujaomba mtaji?
Bora umsaidie wa starehe..kuliko wa mtaji/wa mtaji akifanikiwa anaanza kukudharau......kipofu akiona mwanga ni shidaEeeeh kwakweli hapana
Akili yako ipo kwenye kikopoKama unalazimisha njoo na vaslini utapata hela .
Hey wazee kama kichwa cha habari kinavyosema,
Nina hamu kweli ya Kutanua na totozi bomba wikiendi hii ila mwezi huu Mfuko wangu Umetoboka, Mpenda totoz mwenzangu anipe Sapot, Maisha ni kusaidiana Leo kwangu kesho kwako. Hizi mambo ni kama wavuta sigara, kusaidiana.