Msaada: Nataka kufanya installation ya bitdefender ant-virus 2011 na ku crack

RMD

New Member
Aug 24, 2011
3
1
Niaje wadau nilukuwa naomba msaada wa kufanya instullation ya bitdefender ant virus 2011 na ku cracks
 
Niaje wadau nilukuwa naomba msaada wa kufanya instullation ya bitdefender ant virus 2011 na ku cracks

wewe si umesema ni houseboy? vp kwa mshahara wa 60,000/= unazolipwa ununue computer? ila mambo yako makubwa si mchezo.
anyway ngoja wajuvi waje watakusaidia.
 
Kweli huyu ni house boy na ni mjuzi wa mambo
dah kweli unafaa kufanya kile unachotarajia kukifanya maana houseboy umeenda shule mbaya
 
Installation siyo instullation. Utasaidiwa ila kanunue dukani antivirus ya uhakika. Hizo za magumashi unazotafuta zitaua mashine yako na hazina uwezo wa kuwapangua viruses sugu hasa wale wenye tabia kama hiv
 
Back
Top Bottom