Armani William
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 248
- 734
- Thread starter
- #21
Ahsante sana kwa ushauri wa kutia moyoWasikukatishe tamaa hata hao wenye maduka na biashara kubwa hawakuanza hata na hiyo million..Cha msingi Anza chini komaa utafika...Kuna mtu alianza kupanga chini hana meza saiv kafika mbali sana...wafanyabiashara wakikuzoea ukiwa unaaza udogo mdogo urafiki siku utaanza kuaminiwa mizigo ya mamilioni...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app