Nataka kuagiza simu kupitia mtandao wa amazon na ninahitaji mzigo wangu niupokee kwa njia ya USPS, Tatizo sifahamu hii USPS inakuaje ila naona wengi wanasifia kua ni nzuri.
Naomba mnieleweshe. Je ili niweze kutumia hii Huduma ya USPS natakiwa kua na sanduku la posta au inakuaje?
Sina uelewa wowote juu ya hili hivyo nawaomba mnaofahamu mnieleweshe ili nijue kabla sijaagiza mzigo pia kuhusu GLOBAL MAIL nayo inakuaje?
Naomba mnieleweshe. Je ili niweze kutumia hii Huduma ya USPS natakiwa kua na sanduku la posta au inakuaje?
Sina uelewa wowote juu ya hili hivyo nawaomba mnaofahamu mnieleweshe ili nijue kabla sijaagiza mzigo pia kuhusu GLOBAL MAIL nayo inakuaje?