Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
Wadau naomba msaada kwa wenye uzoefu kuna Gari aina ya RAUM ya mwaka 1997 nataka kuiagiza kutoka JAPAN kwa hawa jamaa wanaitwa TRADE CAR VIEW bei ya gari nimeona ni $ 785 CIF Dar es salaam with JAAI Inspection is US$2,248.
Kwa wale wenye uzoefu je bei hiyo iko sawa kweli? na je hawa jamaa wa TRADE CAR VIEW ni waaminifu? na ikiwa bei mpaka ifike hapa ni kiasi hicho, je mpaka iwe barabarani itanicost kiasi gani.
tafadhali naombeni msaada.​
Kwa wale wenye uzoefu je bei hiyo iko sawa kweli? na je hawa jamaa wa TRADE CAR VIEW ni waaminifu? na ikiwa bei mpaka ifike hapa ni kiasi hicho, je mpaka iwe barabarani itanicost kiasi gani.
tafadhali naombeni msaada.​