Prof Gamba
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 390
- 254
Nyie jichanganyeni tu mkutane na wa nigeria wawalize. 80% wamejaa mapopo wanasebiri wawapige. Tena kwa kukutamanisha wanaweza kukupunguzia bei hata 50%......na wanakuambia lipia haraka au kabla ya kesho
Wewe ndo unajichanganya, watu tumeagiza magari kutoka huko yamefika yakiwa salama na tunaendelea kudunda nayo mtaani. Sasa sijui unasema kwa reference ipi?