Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
teh teh teh teh teh teh teh teh teh teh...husemi Budget yako shauri ako watu wote humu wanaishi mbele perfume utazotajiwa na uhakika hutonunua hata 1..mi nakushauri kiroho safi kanunue kikopo cha mafuta ya Skala kimeandikwa Pefumed petroleum Jelly dukan kwa mangi kinauzwa 500(jero) ila hata 400 anachukua...harufu yake ukipaka Huku mbezi beach mtu wa tandale anaskia.. Sema ndo ivyo inanukia ki beki tatu..Ila we si unataka kunukia Chomoka na hiyo...Mi mwenzako napambana na hali yangu.
Bei?
Nipo hahaha yani wewe unakumbukumbu balaa! he mpaka huku tume kutana tena? Habari ya siku , sikiile nilikuwa naenda kyabakari duuJamani kuna mkaka niliwahi kusafiri nae mwanza 2 bukoba alikuwa ananukia ki ukweli nilidata ....natamani nimuulize jina la pafyum aliyotumia nashidwa! Natamani nimuombe no nashidwa......kama yuko humu namtafuta
Sante....mlimani city sio au hata posta kwa wadosi?Original laki mbili ile ya 50mls.
Bei pia usemeKama ni mwanamke nakushauri Dolice&Gabbana blue intense .Kama mwanaume basi Blue de Chanel.
Ila za mchina Nadhani zipo.Bei pia useme
0710218698
Sure thing!Kujipenda muhimu kunaumuhimu wake ukinukia vizur unakuwa na kujiamini flan hiv hahaha
Za me au ke?Boss
Jasmini
Niver
Tafuta sauvage dior sema bei inachangamka.mi natumia La Nuit De L'Homme Yves Saint Laurent
Kwa sasa ni nzuri sna na compliments utapata nyingi sema bongo ni lak2.7 ila kama mtu anasafiri toka south afrika bei nzuri kwenye 1.9 hiv maana nliichukua kwa hela ya wasouth
Hii boss ya mwanaume na niverZa me au ke?
Hii boss ya mwanaume na niver
BeiLynx effect
Man's not hot.....
Cheki LYNX BLACK mkuu....
Skrraaaaa pooooppoooww
Ya don know!
....Mzee chukua blue for men. Nzuri unaweza ombea hata mkopo benki harufu yake.