laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,730
mkopo wa kilimo ni mgumu sana kuupata cha kukusaidia kama una viela kidogo sajili kama kampuni ya kilimo tena kwa kutumia hiyo familia yako lima lima kizushi huku ukitengeneza hata cash flow feki kuonyesha unapata faida hata kama umepata hasara!.....tafuta na tin kabisa baada ya mwaka mmoja nenda benki unapata pesa tena nenda benki ya kilimo au TIB BANKWanahitaji nini hasa? Maana dhamana nitaweka hilo hilo shamba